Pendekezo: John Heche amrithi Zitto Kabwe

Gwanda zingine huwa zinaamka na HO.

Niliwahi kumwambia Zitto humuhumu JF, kwenye nyuzi moja zamani, "unapotea nguvu zako bure" hawa watu hawatokuthamini.
 
Last edited by a moderator:
Mtu mwenye akili timamu kweli anamfananisha Zitto ya huyo kilaza? Slaa mwenyewe hajafika kiwango cha Zitto.

Wanajifanya wamesahau zitto alipotaka kugombea uenyekiti mbowe aliposhikwa na tumbo la kuhara mpaka akapita mlango wa nyuma kuwaomba wazee wamzuie zitto kugombea,eti leo garasa heche anaweza kufit kwa zitto kichekesho sana, jamaa anawanyima usingizi kabisa pale cdm
 
Reimagine Redesign Reinvent the new leadership paradigm requires high conceptual aptitude and thinking outside the box. Zitto has it.
 
Wanajifanya wamesahau zitto alipotaka kugombea uenyekiti mbowe aliposhikwa na tumbo la kuhara mpaka akapita mlango wa nyuma kuwaomba wazee wamzuie zitto kugombea,eti leo garasa heche anaweza kufit kwa zitto kichekesho sana, jamaa anawanyima usingizi kabisa pale cdm

Mbowe amshukuru mkwe wake yaani mzee mtei kusema siwezi kumwachia kampuni(cdm) mtu nisie mfahamu maana jamaa ilikuwa anavuta sigara muda wote na konyagi nyingi.
 
Hakuna sabab ya msingi kwa sasa kufanya mabadiliko.

Nimtazamo wangu kuwaona chadema wakipokezena na kubadilishana uongozi kwa kufuata katiba yao kwa uwazi na ukweli. Atakaeshinda apewe na pasiwepo mizengwe

Kila kiongozi anafaida yake. Zito anamajukum na umuhim wake ndan ya chama halikadhalika heche.

Katiba ya chama ndio dira na njia hakuna short cut.

Kazi ya heche ndani ya chadema ni ukuhadi kama kutoa matamko ya kuhusu shibuda wakati urais wala haumuhusu.
 
Mbowe amshukuru mkwe wake yaani mzee mtei kusema siwezi kumwachia kampuni(cdm) mtu nisie mfahamu maana jamaa ilikuwa anavuta sigara muda wote na konyagi nyingi.

Kumbe mbowe mkwe wa mtei? Duh yaani baba mkwe alikuwa mwenyekiti akamuachi mkwe wake mbowe!!!? Nchi ya zaidi ya ya 40m population hakuonekana zaidi mkwewe tu? Mmmh maswali mengi kuliko majibu
 
Ukiona wafuasi wa Magamba hapa jamvini wameitana kila kona kuja jamvini kupinga hoja hii basi ujue ni Pendekezo muafaka kabisa.Hakuna Pendekezo lolote jema kwa CDM magamba wataliunga mkono hapa jamvini.Nawashauri viongozi wenye nafasi CDM wanaopita hapa jamvini wachukulie pendekezo hili kwa umakini mkubwa.Kazi kubwa ya kujenga chama inayofanywa na John Heche ni Shetani tu anaweza kupinga.Naamini ni suala la muda tu utaamua jambo hili kwa maslahi mapana ya CDM.
 
WanaJF,

Kiongozi wa Bavicha Taifa John Heche ni kati ya wanamapinduzi waliojitolea na kufanya kazi kubwa sana ya kupigiwa mfano.

Kila tunaposoma vyombo vya habari John Heche anaripotiwa yuko vijijini kufungua mashina, ofisi na kuingiza wanachama wapya. Ni mwezi uliopita tu alikuwa mikoa ya nyanda za juu kusini na kuingiza maelfu ya wanachama.

Wiki hii mwanzoni alikuwa Morogoro na leo yuko vijijini Kagera akifanya kazi kubwa ajabu. Hata anapokuwa mapumzikoni Dar John Heche hatulii ofisini bali anazunguka kila kona ya Dar akifanya mikutano na kuzindua mashina.

Ni wazi kabisa kwamba kiongozi anayependwa na nyota wa chama hicho kwa sasa Katibu Mkuu Dr Willibrod Slaa amekuwa na majukumu mengi kiasi kwamba pengo la Naibu katibu mkuu Bara linaonekana wazi.

Naibu Katibu mkuu Zitto Kabwe amekuwa na majukumu mengi ya kibunge kiasi kwamba anashindwa kumsaidia Katibu mkuu majukumu yake.

Ninatoa mapendekezo kwa viongozi wa chama kwamba ikiwezekana katika uchaguzi wa sekretariati mpya mwakani John Heche akabidhiwe mikoba ya Zitto Kabwe kwa ufanisi zaidi.Ikumbukwe kutokana na majukumu mengi ya kibunge ya Zitto ameshindwa karibu mara 4 mfululizo kuhudhuria vikao muhimu vya chama hicho vilivyotoa maamuzi mazito.

John Heche ni Jasiri, mpambanaji, anayefanya kazi usiku na mchana na aliyejitolea maisha yake kwa ajili ya CHADEMA.

Hakika John Heche ni jembe kwelikweli anayepaswa kupandishwa daraja zaidi.

Nawasilisha.

Ni hoja nzuri kwa maslahi mapana ya chama.Naamini viongozi watalichukua pendekezo hili kwa umakini mkubwa.Hongera mkuu kwa lengo lako zuri la kuimarisha chama zaidi.
 
Ukiona wafuasi wa Magamba hapa jamvini wameitana kila kona kuja jamvini kupinga hoja hii basi ujue ni Pendekezo muafaka kabisa.Hakuna Pendekezo lolote jema kwa CDM magamba wataliunga mkono hapa jamvini.Nawashauri viongozi wenye nafasi CDM wanaopita hapa jamvini wachukulie pendekezo hili kwa umakini mkubwa.Kazi kubwa ya kujenga chama inayofanywa na John Heche ni Shetani tu anaweza kupinga.Naamini ni suala la muda tu utaamua jambo hili kwa maslahi mapana ya CDM.

Noted......!!!
 
Kumbe mbowe mkwe wa mtei? Duh yaani baba mkwe alikuwa mwenyekiti akamuachi mkwe wake mbowe!!!? Nchi ya zaidi ya ya 40m population hakuonekana zaidi mkwewe tu? Mmmh maswali mengi kuliko majibu

Akili za kunguni...
 
Wanajifanya wamesahau zitto alipotaka kugombea uenyekiti mbowe aliposhikwa na tumbo la kuhara mpaka akapita mlango wa nyuma kuwaomba wazee wamzuie zitto kugombea,eti leo garasa heche anaweza kufit kwa zitto kichekesho sana, jamaa anawanyima usingizi kabisa pale cdm

Kamwe Magamba hamtachagulia CDM viongozi.Subirini mwakani mtashangaa na roho zenu...
 
Gwanda zingine huwa zinaamka na HO.

Niliwahi kumwambia Zitto humuhumu JF, kwenye nyuzi moja zamani, "unapotea nguvu zako bure" hawa watu hawatokuthamini.

Ulimwambia kama nani wewe? Huwa mipango yenu mnapanga pamoja?
 
Last edited by a moderator:
huu uzi kuna watu wanatoa mapovu sana.Nawashauri mpunguze mnkari kwani mdau katoa ushauri tu na wala sio agizo.!

Mkuu wanaotoa mapovu wote ni wafuasi na vibaraka wa Magamba na wanaounga mkono pendekezo ni CDM.Kwa hiyo unaweza kusoma btn the lines...!
 
Siungi mkono hoja kwa sababu zifuatazo kwanza watu hawawezi fanana chama lazima kiwe na watu wenye uwezo tofauti katika utendaji kuna wele ambao ni wazuri kwenye field kama henche na kuna wale ambao ni wazuri katika mikakati na mipango hivyo ni si busara et kwakuwa henche anakuwa field muda mwingi basi awe katibu mkuu msaidizi.
 
Umeonae, huko si kuishiwa mkuu, wanaanza kutapatapa 2 hawa, hawana jipya tena.
Heche kweli awe naibu katibu mkuu hata wa chama kama TLP si kushusha hadhi ya CHAMA. Huyu ZITTO hawamtaki? wanamuogopa au vipi? mbona wanasemea pembeni tu, wakati tulishazoea wanaropoka majukwaani mara tumefukuza madiwani mara sijui tutawavhukulia hatua wasaliti wa chama, vipi ZITTO na SHIBUDA? kama wanakubalika si waache kuwachafulia majina kwa kunong'ona pembeni? na kama hawakubaliki ndani ya chama si watamke kuwafukuza? mimi naona kama NCCR-mageuzi na CUF ni vyama vyenye watu wenye maamuzi, KAFURILA na HAMAD RASHID walitangazwa kuwa si wanachama tena bila kumumunya maneno hawa CDM na ZITTO wao sasa imekuwa kama kinyaa.

Viongozi CDM shikilieni hapohapo.Huyu ni Gamba anawapa ushauri.Magamba wameshtuka mno na hili pendekezo.Wamegundua mwisho wao umekaribia.
 
Alitoa tamko akilani kauli ya Shibuda kugombea urais, yule Mwanamke wa BAWACHA akapingana naye akamwambia Heche usipende kuropoka hovyo.

Mkuu kama hujui kitu kaa kimya.Ni mwanamke gani wa BAWACHA?
 
Back
Top Bottom