PENDEKEZO: Freeman Mbowe apewe heshima ya uongozi bora

Moja ya viongozi Tanzani ni huyu bwana Freeman Mbowe, namhusudu kwa 100%, nayasema haya kutokana na uongozi wake tangu awe Mwenyekiti wa Chadema taifa na kukipa chama hicho hadhi kubwa ndani na kimataifa kwa kung'ara bila misukosuko ya mara kwa mara, nadhani anastahili kutuzwa kwa hilo.

Naomba Nawasilisha.

Mkuu Mbowe kwa umri wake ule, inaonyesha jamaa ni wa tofauti sana maana yake ana uwezo Mkubwa IQ, Ana Busara Sana, Hana Uchu wa Madaraka, Ana Utashi Mkuwa wa Uongozi, Anafanya Kazi ya CDM Muda Mwingi, Haamini Katika fikra za Kimaskini maskini, Ana Msimamo sana ana Ana Pesa sana na anajua namna ya kuzitafuta na siyo za Kifisadi.

Anastahili Heshima Gold Medal kwa Mchango wake katika Nchi yetu
 
Siku nzima ya leo nimekuwa nikiwaza ni kwa nini jana nilithubutu hata kuperuzi thread iliyoandikwa ''Freeman Mbowe kupewa heshima ya uongozi bora"! Kusema kweli pamoja na GT wengine kuunga mkono huku wale GT wanaokwenda mbali zaidi ya mawazo ya mtoa hoja wakichangia vizuri sana mie nime conclude yafuatayo:

1. kwa wapambanaji wa kweli hii ni dalili mbaya ya kuanza kuchokonoa nani ni bora kati ya Slaa na mbowe huku kila mtu akijua hawa viongozi, wote ni bora, shupavu na wapambanaji.

2. Kwa sababu huu hauwezi kuwa mjadala wa tija kwa nchi yenye watu waliochakaa kwa umaskini na uonevu,ni vema tungeona ushindani ule uanotukera sio unaotufurahisha kwa mfano kati ya mawaziri wanaolindwa wasijiuzulu ni yupi asiyetimiza wajibu wake zaidi,yaani waziri gani ni mzigo zaidi ya wengine woote!

3. Ushauri wa bure ni kuwa ni kuwa hakuna anyestahili sifa wala pongezi sio mbowe wala slaa bali wananchi tuliokubali kufanya mageuzi,wananchi tuliochoka na taabu,wananchi tulio tayari hata kutoa sh 100 zetu ili kufanikisha mageuzi!Ni usaliti na unafiki kufikiri kuwa kati ya hawa kuna anyestahili pongezi!

Tujadili mambo ya msingi na sio haya manayotuletea!Hii ni taarifa tu na mtazamo wangu na wala sitajibu hoja za wanaotaka kuleta mitafaruku! Asanteni.
 
mkubwa mtenda haki kweli umekwenda deep in detail, kwakweli haina haja ya kuwajadili kuwa nani bora kati ya viongozi wetu wa kitaifa labda kama tunataka tukubali ukweli kuwa, pongezi za kipekee zituendee sie tuliokubali mageuzi ya kweli, kisha wao kama waanzilishi wa mageuzi hayo nao wana nafasi yao ya kupongezwa na sio kupimwa, au kushindanishwa.

asanteni hilo tu wakuu nawasilisha.
 
Sijakuelewa mkuu. Fafanua tena. Kati ya kikwete na pinda nani anafaa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani nae?
 
Mleta thread una hekima sana so bila shaka na ww una Mungu wa israel. Ubarikiwe kwa mawazo yako mema kwa chama chetu CDM. Amen
 
Siku nzima ya leo nimekuwa nikiwaza ni kwa nini jana nilithubutu hata kuperuzi thread iliyoandikwa ''Freeman Mbowe kupewa heshima ya uongozi bora"! Kusema kweli pamoja na GT wengine kuunga mkono huku wale GT wanaokwenda mbali zaidi ya mawazo ya mtoa hoja wakichangia vizuri sana mie nime conclude yafuatayo:

1. kwa wapambanaji wa kweli hii ni dalili mbaya ya kuanza kuchokonoa nani ni bora kati ya Slaa na mbowe huku kila mtu akijua hawa viongozi, wote ni bora, shupavu na wapambanaji.

2. Kwa sababu huu hauwezi kuwa mjadala wa tija kwa nchi yenye watu waliochakaa kwa umaskini na uonevu,ni vema tungeona ushindani ule uanotukera sio unaotufurahisha kwa mfano kati ya mawaziri wanaolindwa wasijiuzulu ni yupi asiyetimiza wajibu wake zaidi,yaani waziri gani ni mzigo zaidi ya wengine woote!

3. Ushauri wa bure ni kuwa ni kuwa hakuna anyestahili sifa wala pongezi sio mbowe wala slaa bali wananchi tuliokubali kufanya mageuzi,wananchi tuliochoka na taabu,wananchi tulio tayari hata kutoa sh 100 zetu ili kufanikisha mageuzi!Ni usaliti na unafiki kufikiri kuwa kati ya hawa kuna anyestahili pongezi!

Tujadili mambo ya msingi na sio haya manayotuletea!Hii ni taarifa tu na mtazamo wangu na wala sitajibu hoja za wanaotaka kuleta mitafaruku! Asanteni.

Get back to the waste bin! Sifa apewe Mkwe.re wa Msoga
 
Kama tunatetea ukweli ya nani kiongozi bora kwa nia njema na kwa heshima ya taifa letu Dr.Slaa ni bora mara kumi ya Mbowe,Mbowe ni kiongozi lakini tamaa nyingi kuliko matendo na mahubi.ri yake,tuishi katika ukweli
 
Huu sio wakati wa kusifiana pale CDM, ni wakati wa mapambano. Sifa zitatolewa 2015 wakati chama linaingia Ikulu, kupenda sifa ni sera ya ccm ndio maana baba mwanaasha anahudhuria kila aina ya msiba ili watu waseme RAIS WA TANZANIA ANA HURUMA NA WAFU!!! CDM kwa sasa ni kazi sifa baadaye
 
Siku nzima ya leo nimekuwa nikiwaza ni kwa nini jana nilithubutu hata kuperuzi thread iliyoandikwa ''Freeman Mbowe kupewa heshima ya uongozi bora"! Kusema kweli pamoja na GT wengine kuunga mkono huku wale GT wanaokwenda mbali zaidi ya mawazo ya mtoa hoja wakichangia vizuri sana mie nime conclude yafuatayo:

1. kwa wapambanaji wa kweli hii ni dalili mbaya ya kuanza kuchokonoa nani ni bora kati ya Slaa na mbowe huku kila mtu akijua hawa viongozi, wote ni bora, shupavu na wapambanaji.

2. Kwa sababu huu hauwezi kuwa mjadala wa tija kwa nchi yenye watu waliochakaa kwa umaskini na uonevu,ni vema tungeona ushindani ule uanotukera sio unaotufurahisha kwa mfano kati ya mawaziri wanaolindwa wasijiuzulu ni yupi asiyetimiza wajibu wake zaidi,yaani waziri gani ni mzigo zaidi ya wengine woote!

3. Ushauri wa bure ni kuwa ni kuwa hakuna anyestahili sifa wala pongezi sio mbowe wala slaa bali wananchi tuliokubali kufanya mageuzi,wananchi tuliochoka na taabu,wananchi tulio tayari hata kutoa sh 100 zetu ili kufanikisha mageuzi!Ni usaliti na unafiki kufikiri kuwa kati ya hawa kuna anyestahili pongezi!

Tujadili mambo ya msingi na sio haya manayotuletea!Hii ni taarifa tu na mtazamo wangu na wala sitajibu hoja za wanaotaka kuleta mitafaruku! Asanteni.

kile chama kimeanzishwa sebuleni kwa mkwe wa mbowe mwisho wa siku lazima kirudi pale sebuleni mtake msitake hao wengine wamewekwa kama maboya tuuu!
 
Huu sio wakati wa kusifiana pale CDM, ni wakati wa mapambano. Sifa zitatolewa 2015 wakati chama linaingia Ikulu, kupenda sifa ni sera ya ccm ndio maana baba mwanaasha anahudhuria kila aina ya msiba ili watu waseme RAIS WA TANZANIA ANA HURUMA NA WAFU!!! CDM kwa sasa ni kazi sifa baadaye

Losomich- "like this"
 
Siku nzima ya leo nimekuwa nikiwaza ni kwa nini jana nilithubutu hata kuperuzi thread iliyoandikwa ''Freeman Mbowe kupewa heshima ya uongozi bora"! Kusema kweli pamoja na GT wengine kuunga mkono huku wale GT wanaokwenda mbali zaidi ya mawazo ya mtoa hoja wakichangia vizuri sana mie nime conclude yafuatayo:

1. kwa wapambanaji wa kweli hii ni dalili mbaya ya kuanza kuchokonoa nani ni bora kati ya Slaa na mbowe huku kila mtu akijua hawa viongozi, wote ni bora, shupavu na wapambanaji.

2. Kwa sababu huu hauwezi kuwa mjadala wa tija kwa nchi yenye watu waliochakaa kwa umaskini na uonevu,ni vema tungeona ushindani ule uanotukera sio unaotufurahisha kwa mfano kati ya mawaziri wanaolindwa wasijiuzulu ni yupi asiyetimiza wajibu wake zaidi,yaani waziri gani ni mzigo zaidi ya wengine woote!

3. Ushauri wa bure ni kuwa ni kuwa hakuna anyestahili sifa wala pongezi sio mbowe wala slaa bali wananchi tuliokubali kufanya mageuzi,wananchi tuliochoka na taabu,wananchi tulio tayari hata kutoa sh 100 zetu ili kufanikisha mageuzi!Ni usaliti na unafiki kufikiri kuwa kati ya hawa kuna anyestahili pongezi!

Tujadili mambo ya msingi na sio haya manayotuletea!Hii ni taarifa tu na mtazamo wangu na wala sitajibu hoja za wanaotaka kuleta mitafaruku! Asanteni.

I have seen, and it real works!
 
wakati Musa anapambana kuwatoa waisraili misri alikuwa na wasaidizi wengi tu, lakini wote pamoja nae walielekeza macho yao kwa Mungu ambaye ndiye mchapa kazi wa kweli, kwa hiyo hakuna cha Mbowe wala Slaa wala Zitto wala Mnyika, na wengine wote, hawa ni MUNGU ameamua kuwatumia ili kuleta ukombozi kwa MTANZANIA. Aliyeanzisha hii topic nina wasiwasi kuwa ni Gamba, ametumwa na shetani kuleta mafarakano ili lengo la ukombozi lisitimie. Kwa nguvu za Mungu aliye hai nakukemea ushindwe na ulegee.
 
Watanganyika kazi kweli kweli, yaani kashughuli kadogo wanatafuta sababu za kupeana posho kwa jina la zawadi.
 
Back
Top Bottom