Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Mimi naomba wewe ndio uwe wa kwanza kupigwa BAN kwa sababu unaombea wenzako wapigwe BAN.
Kisa na mkasa?Invisible na Paw. Wapigwe permanent ban mpaka kwenye server.
Kisa na mkasa?
HahahahahahaNilitaka kujua kama uko hai. Watu wanatukana tu sioni jela zikifanya kazi. Nkajua wameshakuloga...
BTW kwa wewe kuquote post yangu ni uhakika kuwa nina maisha ya miaka 10 JF bila kulamba ban hata nikimtukana invizibo.
Ubarikiwe sana mod mtakatifu Paw.
Mara ya mwisho kupata Like ya Paw nilifanya ibada ya shukrani. Kupata like ya Paw ni sawa na mgonjwa wa lile gonjwa letu kupata ARV.
Nilitaka kujua kama uko hai. Watu wanatukana tu sioni jela zikifanya kazi. Nkajua wameshakuloga...
BTW kwa wewe kuquote post yangu ni uhakika kuwa nina maisha ya miaka 10 JF bila kulamba ban hata nikimtukana invizibo.
Ubarikiwe sana mod mtakatifu Paw.