Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
sio cha kawaida ni cha chini Mrembo
Hadi unaweza kuwa online kila siku usiku muda huu wewe ni wa kipato cha kawaida na sio cha chini
sio cha kawaida ni cha chini Mrembo
Pengine tafsiri yako ya kipato cha chini na yangu zinatofautiana.Hadi unaweza kuwa online kila siku usiku muda huu wewe ni wa kipato cha kawaida na sio cha chini
Catherine mm nataka namba 2 na sio namba 1
Mpe huyo, huwa haviwezi kuexist vyote kwa pamoja, si ulisoma ile story ya msichana aliyekuwa kwenye foleni akaletewa vidumu vya mafuta na majibaba kama watatu hivi? sasa hao warembo wanaangaliwa na kila mtu, maisha ni magumu nao ni binadamu kama sisi mwisho wa siku wanaingia kishawishi na kusaliti wapenzi wao kama Rogi ambae ni wa kipato cha kawaida.
licha ya hivyo, wanaume wenyewe wanapokuwa na wanawake wazuri sana huwa hawajiamini na pengine hutaka kula gud time tu na kusepa na si kuwa na mpango endelevu.
Hahahaha mapenzi bwana, hayana formular, mie yalishanichosha
i thought unachokitaka ungeniambia cjakitaja, nacho ni "msichana mwenye upendo wa dhati". Hivyo unavyovitaka waweza mfanya mpenzi wako ajifunze, hakuna mtu anazaliwa mchamungu, hayo tunayakuta maishani. Hapo kwenye rangi nzuri, maisha kama yapo safi mtoto lazima ashine.
Penda umpendae,usijilazimishe kupenda kumridhisha mtu hata siku moja.nimejikuta kujilazimisha kumpenda mtu.najuta.be aware..