VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Baada ya Madaktari kupigwa chenga za mwili mara kadhaa na Rais Jakaya Kikwete juu ya kuondolewa kwa Waziri wa Afya,Ndugu Haji Mponda na Naibu wake,Ndugu Lucy Nkya,sasa imebaki nafasi moja kwa Madaktari hao.Nafasi yao ni hii.Hii ya uteuzi wa Waziri 'mpya' wa Afya unaotarajiwa kufanywa na Rais wakati wowote kuanzia sasa.Wasipoondolewa akina-Mponda,Madaktari watafanya nini? Rais atawaachia wasiowataka tena kupima joto lao?