Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Nimeona kwenye runinga ya K24 rundo la pembe za ndovu zimekamatwa bandari ya Mombasa. Katika maelezo yao wanadai zilikuwa zinasafirishwa kama plastics kutokea TZ kwenda Dubai lakini mwenye mzigo hajakamatwa. Ni kweli wa-TZ wanafanya hiyo biashara au jamaa wanataka kutuchafulia jina?