Pemba yaongoza kwa umasikini Zanzibar

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema kisiwa cha Pemba kinaongoza kwa umasikini wa kipato Zanzibar.

Hayo yalisemwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha, Uchumi, Mipango na Maendeleo, Omar Yussuf Mzee, wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Viti Maalumu, Viwe Khamis Abdalah, aliyetaka kujua Serikali imechukua hatua zipi kukabiliana na umasikini unaoukabili ukanda wa Mashariki wa Micheweni.

Mzee alisema, kuna hatua zimechukuliwa na Serikali kukabiliana na tatizo hilo lililoko Micheweni, Pemba.

Alizitaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kuwasiliana na jumuiya za kimataifa kufanya utafiti na kuanzishwa kijiji cha milenia Micheweni.

Alisema, baada ya kukubaliwa maombi hayo zilianzishwa programu zikiwemo za kupeleka maji safi na salama na umwagiliaji maji katika bonde la Sawinga na kuanzisha miradi ya ufugaji.

Mzee alifafanua zaidi kwamba utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya milenia kwa kiasi kikubwa utasaidia kupunguza umasikini kwa wananchi wa Micheweni.

Alisema, katika malengo ya kutoa taarifa kwa wananchi kimeanzishwa Kituo cha Redio Jamii Micheweni.

Aliongeza kuwa redio hiyo inafanya kazi ya kutoa taarifa kwa wananchi zinazohusu kilimo na ufugaji.

HabariLeo | Pemba yaongoza kwa umasikini Zanzibar
 
Kinachoshangaza kwanini pemba iwe inaongoza kwa umaskini wakati kwa mwakahuu wa mavuno yakarafuu kilo1 yakarafuu inauzwa kwa tshs 18000 bei iliyotangazwa na serikali?wakati pamba inauzwa 300 kwakilo nasijaskia usukumani wanaongoza kwaumskini?au ni mfumo kandamizi uliojengwa na SMZ miakanenda rudi kuitenga,kuikandamiza na kuidhalilisha pemba?ila sasa ktk serikali ya umoja wakitaifa CUF imewabana walafi wa smz bei yakarafuu imepanda,labda italeta unafuu.
 
Kinachoshangaza kwanini pemba iwe inaongoza kwa umaskini wakati kwa mwakahuu wa mavuno yakarafuu kilo1 yakarafuu inauzwa kwa tshs 18000 bei iliyotangazwa na serikali?wakati pamba inauzwa 300 kwakilo nasijaskia usukumani wanaongoza kwaumskini?au ni mfumo kandamizi uliojengwa na SMZ miakanenda rudi kuitenga,kuikandamiza na kuidhalilisha pemba?ila sasa ktk serikali ya umoja wakitaifa CUF imewabana walafi wa smz bei yakarafuu imepanda,labda italeta unafuu.
 
Wapemba ndio wafuga majini, wachawi na watengeneza popobawa, wako busy na ugunduzi wa nguvu za giza, maendeleo na hali bora ya uchumi is not a part of their plans.

..... Pamoja na kujinyoosha chini ya miembe mchana kutwa..!!!.

Takwimu zinaonyesha kwamba Kisiwa cha Pemba ndio eneo linalopata mvua nyingi kuliko sehemu zote barani Africa.
 
hao matajiri wote wakubwa wanatoka pemba akina edi zungu, bakhresa lkn kutokana na wananchi kutokuwa na imani na serikali yao ndo hawataki kupeleka maendeleo kule smz imesahau leo mauaji ya kinyama pemba mwaka 2011 kama wamesahau cc tunawakumbusha hatutasahau mpaka mbele ya haki hilo walijue moyoni mwao mungu hana haraka na dhulma tuliyofanyiwa
 
"Nna n'jomba Oman miyee, kwan wafikir miye N'swaili mi mwarabu bwana, siku yoyote naenda zangu Maskat kwa n'jomba Mafruk Al Harid!". Ndicho kinachowaponza mpaka kuwa maskini, eti wenyewe wanajiona waarabu! wajinga sana hawa jamaa!
 
Failure nyingine hii ya Chama Cha Wananchi CUF. Licha ya wapemba kuonyesha upendo kwa hiki chama miaka yote kimeshindwa kuwaletea maendeleo. Hata wakati huu CUF Ina ubia serikalini inawaacha wapemba wanaangamia kwa umaskini huku Lipumba anapewa nishani ya Amani
 
"Nna n'jomba Oman miyee, kwan wafikir miye N'swaili mi mwarabu bwana, siku yoyote naenda zangu Maskat kwa n'jomba Mafruk Al Harid!". Ndicho kinachowaponza mpaka kuwa maskini, eti wenyewe wanajiona waarabu! wajinga sana hawa jamaa!

Ha ha ha...Hii imekaa njema sana...
 
Hawa jamaa wanataka kutoka kwenye muungano ili wamiminiwe mafwedha toka Uarabuni na nchi za kiarabu ili watajirike. Miradi yote itakayoanzishwa na serikali ni kazi bure tu. Tangu hiyo miradi mpaka sasa milestone ikoje?
 
Nashangaa Micheweni imewakilisha PEMBA yote au habari inaendelea? hv ukisema wilaya ya mpwapwa kuna ukame na ni masikini je inawakilisha Tanzania nzima?
Mm naona watu washaanza kujiona matajiri na kuanza kushutumu mara wachawi, wafuga majini, wasiopenda kufanya kazi!
Hivi hawajasikia ripoti iliyotoka inayosema Tanzania ndio nchi inayotegemea misaada zaidi ktk bajeti yake Afrika!
Na ile taarifa inayosema wastani wa kipato ni dola moja kwa siku?
Ndio maana taarifa ikasema ni masikini zaidi kwa Zanzibar na sio Tanzania!
 
Watu kutwa wamelala misikitini,unategemea kuna maendeleo yatakayokuja kwa style hyo?
 
na baada ya kupata mamlaka kamili wanayodai umaskini huo wa.wapemba ndio utakuwa sababu mojawapo ya kuendelea kubaguana katinya unguja na pemba.
 
Watu kutwa wamelala misikitini,unategemea kuna maendeleo yatakayokuja kwa style hyo?

wewe acha hata mitaa ya tandika kwenye miskiti utakuta wazee wakislamu wamelala wakisubr swala.
 
"Nna n'jomba Oman miyee, kwan wafikir miye N'swaili mi mwarabu bwana, siku yoyote naenda zangu Maskat kwa n'jomba Mafruk Al Harid!". Ndicho kinachowaponza mpaka kuwa maskini, eti wenyewe wanajiona waarabu! wajinga sana hawa jamaa!

Eh.. lol
 
wewe acha hata mitaa ya tandika kwenye miskiti utakuta wazee wakislamu wamelala wakisubr swala.

Hebu kwanza mnazungumzia wapemba mnazungumzia waislam.. ?? Wapemba hawanihusu kama waislam mada itanihusu sana
 
Hebu kwanza mnazungumzia wapemba mnazungumzia waislam.. ?? Wapemba hawanihusu kama waislam mada itanihusu sana

Huyo bwana hazungumzii wapemba bali amewalenga waislamu, hapa amepatia sababu!
 
Back
Top Bottom