Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Pemba walilia
Wakazi wa Pemba, wamemwomba Mchungaji Masapila kuwasogezea huduma ya tiba ya magonjwa sugu ili nao wanufaike nayo.Baadhi ya wakazi hao waliofika kwenye ofisi za gazeti hili zilizopo katika Jengo la Bandari, Tanga walisema wamekuwa wakifuatilia kwa karibu tiba hiyo kupitia vyombo vya habari na kugundua kuwa kimsingi ina ukweli.
Mmoja wa wakazi hao, Shaame Ussi alisema baada ya kusikia kuwa dawa hiyo inaponyesha na kuwaona hata viongozi wa Serikali wanainywa, ni vyema sasa huduma hiyo ikawasogelea watu ili wanufaike nayo.Ussi alisema ingekuwa vyema kama mchungaji huyo angeipeleka huduma hiyo mkoani Tanga ili kuwawezesha wakazi wa Pemba kuipata.
Habari hii imeandikwa na Salim Mohamed, Neville Meena na Mussa Juma, Samunge
Babu Loliondo atoa wasia kwa wagonjwa
Wakazi wa Pemba, wamemwomba Mchungaji Masapila kuwasogezea huduma ya tiba ya magonjwa sugu ili nao wanufaike nayo.Baadhi ya wakazi hao waliofika kwenye ofisi za gazeti hili zilizopo katika Jengo la Bandari, Tanga walisema wamekuwa wakifuatilia kwa karibu tiba hiyo kupitia vyombo vya habari na kugundua kuwa kimsingi ina ukweli.
Mmoja wa wakazi hao, Shaame Ussi alisema baada ya kusikia kuwa dawa hiyo inaponyesha na kuwaona hata viongozi wa Serikali wanainywa, ni vyema sasa huduma hiyo ikawasogelea watu ili wanufaike nayo.Ussi alisema ingekuwa vyema kama mchungaji huyo angeipeleka huduma hiyo mkoani Tanga ili kuwawezesha wakazi wa Pemba kuipata.
Habari hii imeandikwa na Salim Mohamed, Neville Meena na Mussa Juma, Samunge
Babu Loliondo atoa wasia kwa wagonjwa