Bado sio kontroo...tunafoji cheti Kadi za kupiga kura za halali
Duu, hii kali sasa hivyo vielelezo kuwa mmefunga ndoa ni vipi????
ni cheti cha ndoa mkuu...cha kushangaza ni kwamba vile vyeti haviwekwi picha za wanaondoa...vipi kama nikitaka kuchakachua nikakwapua vyeti home nikatinga navyo ili hali sio wanandoa halisi? nawakilisha tu mkuu