hata kondoa hiyo ipo ila uzuri wa kondoa room cheap kwa hiyo kama uko na thermometer yako wakikomaa mnarent room tofauti then mmoja wenu anavacate kiurahisi kama unasukuma mleve wa boha au mnazi
Kukosekana kwa mabango kama haya kumesababisha yafuatayo:
1. Kuongezeka kwa nyumba za kulala wageni maeneo ya wakazi/ mafichoni.
2. Kushamiri kwa biashara ya ukahaba.
3. Ngono zembe na hatimaye watoto wa mitaani na kukua kwa gonjwa la UKIMWI.
4. Umasikini kwa watu kuelekeza matumizi yao kwenye starehe ya ngono.
5. Makazi duni (mf.Sinza) ambapo watu wanageuza nyumba za kuishi kuwa guest houses bila kubadili mfumo wa maji taka matokeo yake ni vyoo kuziba.
6.
7............
Naomba wanajamvi muongezee kwenye hiyo listi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.