Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Hehehehe
kama anajua kabisa hisia zake ziko uko kwa nini bado anaenda? hivi zamani kabla haya mambo hayajaja nani alikuwa anatusugua miguu yetu? afu akiwa anakupaka rangi awezi kukutekenya miguu otherwise uwe umemwambia akuoshe miguu hapo sawa ndo kuna kutekenyana na swala la kuosha miguu you can do it at home ni kuwa na vifaa tu.
Hiyo ya kusafisha kucha ni cha mtoto. Ukiwaona wale Wamasai wanaotoa huduma ya kusuka nywele, mikao yao na namna wanavyowagusa akina dada na hizo ndude zao hutaamini. Dada anagusishwa kitu kikiwa kimevimba kama pembe ya faru na anasikilizia pasipo pingamizi lolote. Mwisho wa siku Mmasai akiomba kumega hakuna mjadala kabisa!!!!
ni ukweli na wala sitanii waungwana,..
nilihisi, na nimeambia wazi, na hatimaye kuthibitisha
kuwa manzi (mtoto wa UDSM) wangu anachukuliwa na hawa vijana wanaojishughulisha na kuchezea kucha
na miguu ya akina mama/dada zetu...(ni jinsi gani nimethibitisha, ilo niachieni ila nipeni ushauri, niko serious wakuu)
nimemkataza kasema yeye hawezi kujitengeneza mwenyewe, so um thinking of learning the process za pedicure na manicure...lol
ishu nyingine ninayotaka kusema hapa, je ni nani mchokozi hapa:mteja au mhudumu?
maana mikao ya hawa wenzetu wakiwa katika iyo huduma utata mtupu...
lakini pia hawa wanaocheza na kucha na vidole nao wanajua jinsi ya kumkuna mtu na akasikia raha(uchokozi thing)
e bana mm naona chenga tupu!!
Hapo ningekuwa mimi baada ya kushika shika miguu naenda kumaliza chooni narudi kutafuta cha pili.
Yaani ni njia nzuri ya kukwepa ghalama hapo unakwepa kuhonga, unakwepa kulipia chumba n.k badala yake wewe unalipwa kwa kushika shika miguu tena iliyo jaa jaa kama tembo
ni ukweli na wala sitanii waungwana,..
nilihisi, na nimeambia wazi, na hatimaye kuthibitisha
kuwa manzi (mtoto wa UDSM) wangu anachukuliwa na hawa vijana wanaojishughulisha na kuchezea kucha
na miguu ya akina mama/dada zetu...(ni jinsi gani nimethibitisha, ilo niachieni ila nipeni ushauri, niko serious wakuu)
nimemkataza kasema yeye hawezi kujitengeneza mwenyewe, so um thinking of learning the process za pedicure na manicure...lol
ishu nyingine ninayotaka kusema hapa, je ni nani mchokozi hapa:mteja au mhudumu?
maana mikao ya hawa wenzetu wakiwa katika iyo huduma utata mtupu...
lakini pia hawa wanaocheza na kucha na vidole nao wanajua jinsi ya kumkuna mtu na akasikia raha(uchokozi thing)
e bana mm naona chenga tupu!!
Hua inakukera? Si useme basi?mie sioni tabu kama tabia ya mtu ni hiyo huwezi mbadilisha.... ss nawewe unapokwenda kunyoa nywele kule saluni kwenu wale wadada wanaowasafisha uso mbona huwa naweka vichwa vyenu ktk ya maziwa yao wakati mnasuguliwa uso mbona sie hatusemi!!!
hawa nao kama sio wasafi,..kichefchef, maana wanatema harufu balaa..
hii nayo... wamekuja mjini kusuka sio kulinda na kuuza dawa.. ila hawa jamaa na stail yao ya nywele ni profesional au?
Hua inakukera? Si useme basi?
Majamaa yanafaidi kwa kushika shika miguu ya kina dada