habari wanajamii nani mwenye taarifa ya ijumaa kwani ilipita kimya bila kuonana na bila taarifa kama kamchango chetu kiliwakilishwa pls pearl tupe majibu au yeyeto mwenye taarifa
kale kamchango naskitika nimekalaaaaaaaaaa,anywei kiddding ijumaa hatukuweza kuonana na mlengwa hasa wa kupokea hizo pesa,so akasema leo tutawasiliana so far nasubiri cm yake ili nijue ni wapi na sa ngapi will let u pple no,but ijumaa nilikutana na baba enock nae akamwaga mijihela kama mchango wake
hello, lm back.
mambo vp?
kale kamchango naskitika nimekalaaaaaaaaaa,anywei kiddding ijumaa hatukuweza kuonana na mlengwa hasa wa kupokea hizo pesa,so akasema leo tutawasiliana so far nasubiri cm yake ili nijue ni wapi na sa ngapi will let u pple no,but ijumaa nilikutana na baba enock nae akamwaga mijihela kama mchango wake
yani wana jf tunavyopinga ufisadi kwa nguvu zote alafu uje ufanye usanii kwenye jumba la sanaa ungejutaaaaaaaaaaaaaa kutufahamuuuuuuuuuu
aka kula mwenyewe kukukamata tutakukamata tu ujanja akuna
wewe ucpime mtu wangu yani kukukamata ni kama kumkamata mlevi vile kiulainii
poa unataka nikukamate lini je om or job or barabarani chagua
poa dear nikikukamata utanipa nini
Mm mutoto ya mujini takamata wapi mm bana?
Anything u wanttttt
heheee lulu ungeongezea kwenye ule mtaji afu plan i-kick off mara!!!
weweeeeee dont leave luphols in ur promises like that!!! Waweza ombwa chenye hakiombeki
Yap yap yap ebwana eeeeeeeeh,u reminded me kitu
Nothing is impossble au?