PCT Yaibua Upya Hoja ya Kadhi!

Mkuu soma habari iliyotangulia..Kisha nitafsirie ibala ya 19(2) unaielewa vipi...Na kwa kumalizia tu inaposemwa - Serikali haina dini ila watu wake, sii maneno ya PTC wala KKKT ila ni katika kuielewa katiba..

Niseme tu kuwa :

Sehemu (1) ya katiba Ibara ya 19 inaongelea individual ana rights zipi kuhusu imani.

Sehemu (2) inakazia kuhusu protection ya hizo rights za individual zinakuwa vested inline with other laws ktk kuharmonize peace na mafungamano ktk jamii. Yaani hizo rights zinakuwa protected iwapo mtu havunji sheria nyingine zinazoweza kuvunja amani, kuharibu umoja na mafungamano ya waTZ.

NUKTA.

Tiari mpaka hapo?
 
Mkuu taratibu, tunaongea kiswahili hapa... Ibara ya 19(2) inasema hivi:-

Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi".
 
watanzania na hasa waislam wanatakiwa kufikiri mara mbili kama kweli vichwa vyao vinafanya kazi, pale yanapozungumzwa mambo yenye public interest na yale ya makundi. Mbona la MoU ni watanzania wote kuliko hilo la kadhi? Please, wake and gain understanding men!
 
Mkuu taratibu, tunaongea kiswahili hapa... Ibara ya 19(2) inasema hivi:-

Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi".

Ok labda tunasoma version tofauti, lakini bado sioni kifungu cha (2) kinahusiana vipi na hoja zako za MoU na Kadhi.

Ukumbi ni wako.
 
Tatizo kubwa linatokana na viongozi wa dini kugeuza dini kuwa ajira... Wanatumia dini kupatia ulaji.
Wakitafuta kazi ya kufanya , chokochoko zote zitakwisha.
 
watanzania na hasa waislam wanatakiwa kufikiri mara mbili kama kweli vichwa vyao vinafanya kazi, pale yanapozungumzwa mambo yenye public interest na yale ya makundi. Mbona la MoU ni watanzania wote kuliko hilo la kadhi? Please, wake and gain understanding men!


Wewe tokea lini Kanisa (Crusaders) likawa public interest? Baba yenu Nyerere sasa hivi hayupo, kazi kwenu, endeleeni na kilio chenu cha kuuogopa Uislamu.
 
Afadhali maaskofu wamekumbuka shuka kabla hakujakucha!


Kwa nini nyie Christians journalism, mnaandika zaidi kuhusu mambo ya Uislamu kuliko hata ya nchi? Mnauogopa Uislamu? Mambo ya Waislamu waachiwe wenyewe Waislamu.
 
Mikristu bada, akili zao kama picha za sura zao!

Mkandara,

Siyo lazima uchangie kila thread. Heshima yako kwa wengine iko juu sana.

Hilo uliloandika hapo juu, haliendani na wewe. Nafahamu utakuja juu kutetea kuwa uko sawa. Mkuu, mawazo yako yako juu zaidi ya kuamini 'dunia ni kama meza'.
 
Mkandara,

Siyo lazima uchangie kila thread. Heshima yako kwa wengine iko juu sana.

Hilo uliloandika hapo juu, haliendani na wewe. Nafahamu utakuja juu kutetea kuwa uko sawa. Mkuu, mawazo yako yako juu zaidi ya kuamini 'dunia ni kama meza'.

Spade tuiite spade mazee. Humu ndani kuna great thinkerz wa kuhesabika na huyu Mjita wako si mmojawao.
 
Back
Top Bottom