Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,919
Kulikuwa na thread inayosema wanasiasa waliificha hii ripoti isitolewe kabla ya uchaguzi,ila kutokana na ripoti hii,wanasiasa hasa wabunge na wakuu wa wilaya ndio less corrupt.
Na pia imeonyesha watu wengi hawadhani embezzlement na fraud as a form of corruption.
Na pia imeonyesha watu wengi hawadhani embezzlement na fraud as a form of corruption.