Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
duh!
kwa mwendo kama huu bas sidhani kama tutafika maana hata kutoka hatujatoka kwenye safari hii
ila swali langu mimi ni moja
Kwa nini sifa hii asipewe KITILA wa TRA? why and whats so special about Dau?
au TRA nako kuna rushwa iliyokithiri?
you cant be serious