NICK2275
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 3,931
- 918
Wakuu laptop yangu jioni hii baada ya kuizima bila tatizo lolote mchana,nimerudi nataka kuwasha inagoma/inashindwa kuwaka-inatoa blue screen then inaji-restart yenyewe-kila kushindwa kuwaka kabisa
Imenipa options ya kufix problem automatically lakini imeshindwa-nataka ni-reinstall windows tena-lakini nasita kufanya hivyo coz nahisi kuna nJia ambayo naweza solve hii mambo bila kure-instal windows-
KAMA KUNA MTU MWENYE CLUE YA TATIZO KAMA HILI AU ASHAKUTANA NA TATIZO KAMA HILI NA AKALIMALIZA VYEMA-NAOMBA MSAADA WENU
Imenipa options ya kufix problem automatically lakini imeshindwa-nataka ni-reinstall windows tena-lakini nasita kufanya hivyo coz nahisi kuna nJia ambayo naweza solve hii mambo bila kure-instal windows-
KAMA KUNA MTU MWENYE CLUE YA TATIZO KAMA HILI AU ASHAKUTANA NA TATIZO KAMA HILI NA AKALIMALIZA VYEMA-NAOMBA MSAADA WENU