JF wadau wa mambo haya ya transaction ya money online nataka kujiunga nayo sasa nataka kujuzwa namna inavyo fanya kazi kwa sasa natumia kale ka-benki ketu ka "twiga" sasa nitaungwanishawa ivi? na faida na hasala kwa wazoefu jamani.:redface:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.