BIN BOR
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,013
- 407
Sina nia ya kumchokoza mtu yeyote aitwaye Paulo (Paul kwa kizungu) bali nimekumbuka wimbo huu wa utotoni uliotusaidia kukumbushana kunawa mikono kabla ya kula.
Ya majirani zetu tumeyasikia, Rwanda Kagame ananyonga wafuasi wake kama kuku wanavyochinjwa hotelini. Uganda Museveni hataki kukosolewa na mtu yoyote, yupo tayari kuwamaliza makamanda wake wa zamani ili muradi abaki madarakani.
Lakini hawa ndio wanaokuja kucheza na sisi ktk jumuiya ya Afrika Mashariki, wakiwa na mikono iliyolowa damu. Mikono michafu. Ni bora tuunde jumuiya pamoja na Somalia au Sudani ya Kusini lakini kwa hali ilivyo sasa, Uganda na Rwanda hawana sifa ya kuwa wenzetu katika EAC:
Ya majirani zetu tumeyasikia, Rwanda Kagame ananyonga wafuasi wake kama kuku wanavyochinjwa hotelini. Uganda Museveni hataki kukosolewa na mtu yoyote, yupo tayari kuwamaliza makamanda wake wa zamani ili muradi abaki madarakani.
Lakini hawa ndio wanaokuja kucheza na sisi ktk jumuiya ya Afrika Mashariki, wakiwa na mikono iliyolowa damu. Mikono michafu. Ni bora tuunde jumuiya pamoja na Somalia au Sudani ya Kusini lakini kwa hali ilivyo sasa, Uganda na Rwanda hawana sifa ya kuwa wenzetu katika EAC: