Silas Haki
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 368
- 39
Huyu ni moja ya Makanjanja, yeye anawakilisha mwajiri wake zaidi ambaye ni CCM damudamu na anasahau kuwa ukiwa mtangazi hutakiwi kuonyesha itikadi yako ya kisiasa kwani unaowatangazia wengine siyo wafuasi wa chama chako.