Paukwa ……. Pakawa …

mimi nime ipenda mada iliyo ongelewa, bila kufuata kibwagizo cha break news, infwact, nilikuwa nafikiria ni jinsi gani ni tawaambia waseme hapana kwa ccm, licha ya ghiliba nyingi za kuseama kwamba, bila wao amani haitakuwepo, pili ndio chama chenye sera bora za kumuokoa mtanzania katika nyanja mbali mbali iwe ya kiuchumi, afya, michezo , elimu, barabara, kupingana na rushwa/ufisadi kulinda mali za watanzania , haki sawa kwa wote etc, kwa sababu wamekuwa na nafasi kubwa za kufanya hivyo katika kipindi cha miaka 20 iliyopita, lakini kilicho tokea ni matusi na dhuluma kubwa, kwa faida ya wachache ambao wanalindana, kwa maafa ya kiuchumi wa nchi.
kwa kuanzia na kashfa za chavda, jeetu pate, ukodishaji wa kia iptl wakati wa ali hassan mwinyi, mpaka hizi grand corruption za mkapa na mikataba za mikataba ya madini, radar, ndege ya raisi bot win tower, teuzi ziso fuata maadili, kuuza nyumba za serikali, kuwadhuluma wananchi sehemu za kuchimba madini na kujipa wenyewe kwa mgongo wawekezaji, kujipa mitaji kwa kufunga mikataba mibovu hlafu wanatengue wenyewe na kulipana faida na mengineyo mengi kama miradi ya net group solution, Dowana etc. Kwa kifupi sera za CCm kwa ndani ni za kubinafsisha Nchi kwa Watu wachache, wakati kwa juu juu wanadai hizo sera ni za kumkomboa mtu wa chini.
 
Hii nayo ni breaking news? Kweli ni Paukwa pakawa!

Tusilaumu sana wakati mwingine huyu yupo kwenye training ground anajaribu kuona different keys zinafanyaje kazi si unajua, Kipya?, hata wewe ukinunua simu mpya utakuwa unajaribu kila function kuona zinafanyaje kazi hata milio utajaribu yote bila kujua unapiga kelele na watu wanakushangaa

Bikra
Member
Join Date: Wed May 2009
Location: Mwilini - Kote Kote !
Posts: 17
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom