Hivi jana nilikutana na mtu mmoja akaniuliza kama kweli watanzania wanaipenda nchi yao kwanini wanaficha ID zao kwenye JF. Akadai unapoamua kuwa patriot utakiwi kujificha mnasemaje wana JF je hoja yake ina nguvu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.