bandubandu
Senior Member
- Dec 19, 2010
- 102
- 28
Nilibahatika kuangalia mechi ya simba na tp mazembe pale uwanja wa Taifa,kwa kweli pamoja na simba kufungwa lkn nilikuwa na furaha kubwa sana cku ile kutokana na na performance iliyoonyeshwa na baadhi ya wachezaji wa simba kama patrick Orchan,Mbwana Samata na Emanuel Okwi,Patrick Orchan ni mchezaji wa aina ya peke yake,kwangu mm huyu ndiye aliyekuwa nyota wa mchezo ule,uwezo mkubwa alionao wa control,kumiliki mpira kupiga pasi zinazofika ilikuwa ni burudani tosha kumtazama kila alipogusa mpira.