okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,631
Hello guys
Kwa mnaofuatilia vizur patrick ngowi alivokuwa na miaka 27 aliingia kwenye forbes africa under 30 list huku kampuni zake za solar ikiwa na revenue ya 2million usd kwa mwaka, akaitwa kwenye interview za mboni talk show na the scoop. so he was quite a celebrity.
Pamoja na hayo jamaa sijaona akishobokea mademu wakali wa bongo movie, wala kuonesha burungu za hela au kula bata kwenye social media, jamaa yupo kiofisi ofisi zaidi.
Akina idriss walivoshinda 300,000usd walisumbua hapa mjini, majjizo baada ya kupata mafanikio kidogo keshaanza kumdate lulu, dallas baada ya kupata mabilioni ya shillingi yoote yaliishia kwa wolper na gold diggers.
Nadhani patrick ngowi ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sisi vijana.
Kwa mnaofuatilia vizur patrick ngowi alivokuwa na miaka 27 aliingia kwenye forbes africa under 30 list huku kampuni zake za solar ikiwa na revenue ya 2million usd kwa mwaka, akaitwa kwenye interview za mboni talk show na the scoop. so he was quite a celebrity.
Pamoja na hayo jamaa sijaona akishobokea mademu wakali wa bongo movie, wala kuonesha burungu za hela au kula bata kwenye social media, jamaa yupo kiofisi ofisi zaidi.
Akina idriss walivoshinda 300,000usd walisumbua hapa mjini, majjizo baada ya kupata mafanikio kidogo keshaanza kumdate lulu, dallas baada ya kupata mabilioni ya shillingi yoote yaliishia kwa wolper na gold diggers.
Nadhani patrick ngowi ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sisi vijana.