dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
ukweli ni kwamba watu wanazidi kuongezeka. kwa wale wa Ubungo ili ufike inabidi ushukie serengeti then upande magari ya k/koo au mwenge ushuke ttc club au maduka mawili. vile vile ukishafika serengeti unaweza ukatembea ni kama dakika sita. asilimia kubwa ya wachezaji wa simba wapo hapa na baadhi ya wachezaji wa yanga. vilevile wakongo wapo wengi.