Patience mpaka lini..!??

Mkuu Mentor kumbe ulifanya modification ya ID? lol!...Pole sana Mkuu kwa yaliyokukuta.


Daaaaaamn BAK, that was me then...av grown older n wiser bro...dah

Vumilia, usirudi nyumaa kaza mwendo usife moyo, vumilia usirudi nyuma pambazuko liko karibu (mie naimba tu)
Imekuwa kisa cha m,uomba jamvi.
Kama ulimpenda why usingemwambia? kwake yeye asingekusisitizia kwani mwanamke kumwambia mwanaume nakupenda na akasisitiza hasa upendo unaoelekea kwenye sexual relationship ni ngum sana. Huwa hata ukimwambia mwanaume kwamba unampenda all they do ni ku end up kukuona wa ajabu na they take it for granted. I will never tell a man kwamba nampenda.

Ehe ULIMPATA AU ALISHAOLEWA??????@Mentor
Mrembo by Nature...hii stori ni ya zamani sana my dia....! thanks anyway...
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mrembo by Nature...hii stori ni ya zamani sana my dia....! thanks anyway...

Ndo maana nimeuliza ulimpata au alishaolewa? maana yangu ni kwa wakati huu, uvumilivu ni hali ya kuendelea japo ni ishu ya muda. Kwani kipindi hiki huna changamoto yoyote hata kama sio ya kimahusiano? kama ndio bado unahitaji uvumilivu
 
pole we,nilikuwa sijaiona hii post kumbe na wewe ni domo zege?LOL
 
Ndo maana nimeuliza ulimpata au alishaolewa? maana yangu ni kwa wakati huu, uvumilivu ni hali ya kuendelea japo ni ishu ya muda. Kwani kipindi hiki huna changamoto yoyote hata kama sio ya kimahusiano? kama ndio bado unahitaji uvumilivu

Sikumpata maana nilirudi zangu home sweet home...

Nina changamoto za kimaisha (uchumi) zaidi na uvumilivu ni no kwangu i fight hard..i want t now..i want t bad!!!


pole we,nilikuwa sijaiona hii post kumbe na wewe ni domo zege?LOL

Hahah Jestina that was then my dear..dont try me now.:nono:
BAK i hold u accountable for bringing up the dead bro...
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Sikumpata maana nilirudi zangu home sweet home...

Nina changamoto za kimaisha (uchumi) zaidi na uvumilivu ni no kwangu i fight hard..i want t now..i want t bad!!!

Nitaomba nikufanyie maombi private, teh teh teh ! Hayo maombi yatakuwa ya usiku na mchana kwa muda siku saba ili hitaji lako la kupata kila ukitamanisho litimie, uko tayari???????
 
Mkuu mie niliona umenitilia 'likes' nikasema ngoja nichungulie nilichoandika nikakuta umeniachia swali pia ingawaje sijalijibu na pia nikakugundua kumbe ulifanya modification. Ningejua hilo swali ni la 2010 basi ningepotezea tu.

Sikumpata maana nilirudi zangu home sweet home...

Nina changamoto za kimaisha (uchumi) zaidi na uvumilivu ni no kwangu i fight hard..i want t now..i want t bad!!!




Hahah Jestina that was then my dear..dont try me now.:nono:
BAK i hold u accountable for bringing up the dead bro...
 
Mhhhh! :)



Nitaomba nikufanyie maombi private, teh teh teh ! Hayo maombi yatakuwa ya usiku na mchana kwa muda siku saba ili hitaji lako la kupata kila ukitamanisho litimie, uko tayari???????
 
Last edited by a moderator:
Daaaaaamn BAK, that was me then...av grown older n wiser bro...dah


Mrembo by Nature...hii stori ni ya zamani sana my dia....! thanks anyway...

Koh koh ...
Watu wanajua kufukunyua haha haaaaa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Unajua Mrembo by Nature by any chance shetani akinipitia na wewe utakuwa makosani unangojea nini na mm nshasema tuanze lini hayo maombi lakini?

Okay tutaanza kesho saa 6kamili usiku hadi saa 6.30 usiku. Usitumie kilevi cha aina yeyote wala sigara, kama kuna mtu una kinyongo nae yakubidi usameheane nae ndipo uingie katika haya maombi. Niko serious. Just by faith. baada ya siku saba uniambie vile unafeel. Umesikia Mentor???
 
Last edited by a moderator:


When you call my name it's like a little prayer
I'm down on my knees, I wanna take you there
In the midnight hour I can feel your power
Just like a prayer you know I'll take you there
 
Last edited by a moderator:
Okay tutaanza kesho saa 6kamili usiku hadi saa 6.30 usiku. Usitumie kilevi cha aina yeyote wala sigara, kama kuna mtu una kinyongo nae yakubidi usameheane nae ndipo uingie katika haya maombi. Niko serious. Just by faith. baada ya siku saba uniambie vile unafeel. Umesikia Mentor???

du yu mini tunayafanya ki-blue tooth?? :nono:
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom