Noma ni pale unapotumia cheo kumzidi mtu kete, noma zaidi ni pale na yeye ana kigezo cha kukubana pumzi na ukanywea, patamu teh teh teh!
Enz zetu wakati hili Gonjwa halijatua duniani ndiyo ulikuwa mchezo pale UDSM? Yaani kiasi kwamba wengi walikuwa wanakimblia IDM (now Mzumbe University) kama tu girlfriend wako atakuwa mlimani. Ilikuwa ni disco tu hasa kwa wanaume waliokuwa na marafiki ambao nao lecturers wanatafuta maana walikuwa ni wachache mno!!! Enzi za maziwa ndani ya bomba with balanced diet!!! Na chai saa kumi!!! Kweli tumetoka mbali kwa sasa mtu wa chuo anakula kwa mama ntilie!!!! Akili itakuwa muda gani wakati unakula ugali na wali umewekwa hamira? Tunadidimia!!
Huu mchezo huko nako upo??hii ya udom!!!!!!!!!!!!!