wanawake wakipigana ni kuvutana nywele na kuchaniana nguo tu,hapo hata hawapigani.
Ha ha hapa sio New York..hapa ni bongo vichochoroni kwenye pub moja...angalia miguuu imechika vumbi..uvaaji wa nguo..balaa
Aibu tupu
New York hakuna vumbi eeeh?Ha ha hapa sio New York..hapa ni bongo vichochoroni kwenye pub moja...angalia miguuu imechika vumbi..uvaaji wa nguo..balaa
Cheusi mzima lakini?
Nilikusubiri sana siku ya chai day pale lunch time Hotel mabibo hukuja, nilitaka nione kama unafanana na avatar yako.
New York hakuna vumbi eeeh?