Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

Naona upo kimya mkuu ila ningekushauri utafute mbegu ambayo inavumilia kupata ugongwa hasa wa virus wanaoitwa rig worms, kama ni kwa biashara tafuta mipapai inayozaa mapapai mengi ili ikupatie mapapai 3 kwa wiki kila mche mmoja i.e 3 papaya per tree assume you have 2000 trees you will have 6000 papaya uza bei ya chini shs 300 kwa papaya moja!
Umemshauri vizuri, ila mipapai 2000 zitakaa ktk eneo la hector 2 na zaidi kwa spacing ya mita 3kwa 3 na 4 kwa 4 ni zaidi ya hector hizo
 
Naona upo kimya mkuu ila ningekushauri utafute mbegu ambayo inavumilia kupata ugongwa hasa wa virus wanaoitwa rig worms, kama ni kwa biashara tafuta mipapai inayozaa mapapai mengi ili ikupatie mapapai 3 kwa wiki kila mche mmoja i.e 3 papaya per tree assume you have 2000 trees you will have 6000 papaya uza bei ya chini shs 300 kwa papaya moja!
Umemshauri vizuri, ila mipapai 2000 zitakaa ktk eneo la hector 2 na zaidi kwa spacing ya mita 3kwa 3 na 4 kwa 4 ni zaidi ya hector hizo
 
Mafundisho mwafaka kabisa kutoka kwa Shosi. Aina ya mbegu na aina ya mazao tukizingatia tutaondoa malalamiko ya soko.Tutambue kwanza soko linataka nini ndipo tuzalishe tuache kuzalisha ndipo tunaanza kutafuta soko.]
 
kilimo cha matunda ni kizuri sana, mimi nimeanzisha langu la miembe dodo mwaka jana kama ekari 10 nashukuru Mungu linaendelea vizuri japo kuna wahuni wananingolea miche shambani. watu bhana sina hamu nao, nimetoka kidogo nyuma huku wanangoa..
naombeni tips za kuliendeleza hasa swala la dawa ni shida sana majani hujikunja na kuwa na ukoma.
papai niliweka kwenye mifuko kama 900 hivi siku mojs nikawa namwagilia dawa ya DUDU ALL zikaungua zote roho iliniuma sana. sasa hivi ningekuwa naanza kula hizo million 40!
 
Chachu Ombara ni vibaya sana kunukuu andiko la mtu bila kuweka reference. Plagiarism!
Hili andiko limeandikwa na Albert Nyaluke Sanga wa Bunge la Uchumi. Ni vibaya sana mada hii inapepea without due credit.
Original Post: HEBU CHUKUA KALUKUKETA YAKO, TUFANYE... - Albert Nyaluke Sanga | Facebook

Post zilizofuata jamaa akilalamika kuibiwa maandishi yake:
Mzembe mmoja ambae sijawahi kumuona... - Albert Nyaluke Sanga | Facebook
WACHA TANZANIA IENDELEE KUPIGIKA..!!... - Albert Nyaluke Sanga | Facebook
 
Nimepanga kuchukua mbegu Sua ..naanza na miti hamsini kama majaribio ... wakuu
 
ntaanza kuifanyia kazi home niijaribu then ikiwork intaifanya kibiashara zaidi, thanks for info.

Leta mrejesho mpendwa. Mimi nimefanya majaribio nyumbani, na sasa nimeotesha miche 100 shambani tayari kwa kuanza mradi. Nitaangalia hiyo 100 itakavyokuwa halafu nikimudu nitaongeza miche baadae. Ila nimeanza na mbegu za kawaida ambazo zinadumu pia, zinachelewa kutepeta - ganda ni gumu. Za kisasa nimepata kidogo ziko ghali sana madukani na niliwahi pata pakti zimesagika zimo 2 tu. Huu uzi umenisaidia sana. Asanteni.
 
Leta mrejesho mpendwa. Mimi nimefanya majaribio nyumbani, na sasa nimeotesha miche 100 shambani tayari kwa kuanza mradi. Nitaangalia hiyo 100 itakavyokuwa halafu nikimudu nitaongeza miche baadae. Ila nimeanza na mbegu za kawaida ambazo zinadumu pia, zinachelewa kutepeta - ganda ni gumu. Za kisasa nimepata kidogo ziko ghali sana madukani na niliwahi pata pakti zimesagika zimo 2 tu. Huu uzi umenisaidia sana. Asanteni.
Kwaiyo umepanda zipi?
 
Papai inastawi zaidi wapi. Huku arusha sijawahi kula papai tamu..yaani hayana ladha kabisa. Na ukipata tamu utaambiwa limetoka Tanga.
 
Wanajanvi habari zenu, nina ndugu yangu anataka kuanzisha kilimo cha kisasa cha mboga mboga na matunda hasa mapapai, ameshaanza kuchimba kisima kirefu kwa ajili ya umwagiliaji, swali langu ni kuomba kama kuna mwana janvi yeyote ambaye anafahamu soko katika nchi ya comoro likoje kwa uzoefu, kwani yeye anategemea kuzalisha mwaka mzima kutokana na umwagiliaji, naomba msaada wenu.
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom