bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,550
Naomba msaada kama kuna mtu ana idea ya ufugaji bata kibiashara. Ninashukuru kwa mawazo chanya
MORIA... upo wapi .... I have the same idea ya kufuga in large scale kwa matunzo ya kisasa zaidi .... nimejaribu kuwatunza watoto 11 wa bata walioanguliwa mwezi wa 7 kwa kuwapa broiler starter in first three weeks na baade kuwapa growers mash ikichanganywa na portion ya pumba za mahindi na matokeo ni mazuri sana ... watoto hawa sasa ni wakubwa sana with a high yield in growth
ninachotaka kufanya sasa hivi ni kununua mayai ya bata kwa wafugaji mbalimbali na kuyapeleka kuanguliwa kwa incubator machine .... naanza na mayai 50 ... then from there I can propel the project well
kumbuka bata wanakuwa vizuri kwa malisho ya majani (grazing) na maji kwa ajili ya preening