Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Malila Malia, shusha shusha vitu. Huwa nikiona tu jina lako, basi huwa lazima nipekue hata kama kitu hakinihusu.
Ila ufugaji wa SAMAKI huwa unanikuna sana. ONE DAY nitakutafuta kwa hili. Asante sana kwa nondo zako.
Tunafaidi mengi sana na usisite kuweka zaidi na zaidi busara zako. Watakaomeza watameza, watakaotema wateme.
Ila ufugaji wa SAMAKI huwa unanikuna sana. ONE DAY nitakutafuta kwa hili. Asante sana kwa nondo zako.
Tunafaidi mengi sana na usisite kuweka zaidi na zaidi busara zako. Watakaomeza watameza, watakaotema wateme.