The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Ndugu soko lipo juuu sana sio kwa dar tu..nilipata order ya kg300 ya samki ila.akashindkana mtu wa kua nao..ss kama kg moj.dukan ni sh.7000 ad 8000..jumla utapatana na mnunuzi and utaona.how much itaingiza
naomba unipe no yako ya simu pm....samaki wangu wakikua nikutafute...