Pata umeme wa bure na uhakika kwa kutengeneza generator yako ya Tesla...

Bantugbro

JF-Expert Member
Feb 22, 2009
4,476
4,250
Wakuu,

Kwa kuwa hivi sasa tuko katika wakati mgumu katika historia ya Danganyika kwenye suala la kupata umeme wa uhakika na ukizingatia tena bado tunatakiwa kuchangishwa zaidi (kupitia ongezeko la bei ya umeme!!) ili kuwalipa mafisadi wa Dowans a.k.a Ndowano.

Nimeona ni wakati muafaka wa ku-share nanyi namna ya kujitengenezea umeme wetu wa uhakika na bure hapo nyumbani na hata pia kuwauzia TANESCO kwa kutumia teknolojia (sio solar au upepo) ya sumaku.

Teknolojia hii ilivumbuliwa na bwana Nikolai Tesla miaka mingi sana iliypita lakini ilifichwa chini ya makabrasha na wakuu kutokana na ubinafsi wao. Gharama ni kununua kitabu pamoja na vifaa kwa ajili ya kuijenga hiyo generator yako ya sumaku.

Kwa maelezo zaidi soma hizo links hapa chini:

Tesla generator - Learn how to build your own Tesla Generator!

Nikola Tesla Secret - Exposing Tesla's "FREE Energy" Device

TESLA free energy generator

BTW
Nitajitahidi kukiweka hicho kitabu hapa muda si mrefu...
 
Asante mpwa! tutawakomoa TAA-NESI-KOO, yaani sitawalipa hhata senti
 
Almost bought an eBook about how to build a generator that will power my home 50-100% for free using Tesla's Magnetic Generator. Then I started searching for happy customers. What I found instead is better yet. BIG REALITY CHECK FOLKS. MagnaWorks is selling a book that will help you save money on your electric bill but not for the reason they imply. They are telling you that you will save 50% or more on your electric bill as a result of building a Tesla Generator that you can use to power your home. Lets do a reality check. And lets look at the plans (the plans from the book - but not 'from the book')... I've included a link to the plans (you can have them free) thanks to Pure Energy Systems PESWiKi. Read Bogus claim on plagiarized work; apologized and putting forth something else and get the actual plans free at Bedini SG School Girl Motor and Battery Energizer Complete Plans

If its too good to be true, it is... THERE IS NO SUCH THING AS FREE.....
 
VoiceOfReason na Bantugbro nani mkweli ? Sijui "Invincible" ili analiangalia vipi,la kupost issue ktk sehemu hisiyo husika .Kama kati ya hawa wawili niliowataja mwanzo mmojawapo anatania(jokes). Aombe msamaha na a'cut' hiyo thread yake na kui'paste' sehemu ya jokes. Sehemu hii (Technology), ninavyojua, tunakuja kutafuta suluhisho la matatizo ya kiteknolojia si vinginevyo.
 
VoiceOfReason na Bantugbro nani mkweli ? Sijui "Invincible" ili analiangalia vipi,la kupost issue ktk sehemu hisiyo husika .Kama kati ya hawa wawili niliowataja mwanzo mmojawapo anatania(jokes). Aombe msamaha na a'cut' hiyo thread yake na kui'paste' sehemu ya jokes. Sehemu hii (Technology), ninavyojua, tunakuja kutafuta suluhisho la matatizo ya kiteknolojia si vinginevyo.

Unajua kuna kitu ambacho kimekuwepo miaka mingi sana watu wanauza product ambayo sio kama ambavyo wanasema inafanya. Hakuna kitu kama free energy, this goes against the laws of physics. Energy can not be created nor destroyed but converted from one form to another

Kuna watu wengi wamekuja na ideas za mashine lakini hata hizo zinaongeza efficiency tu sio kutengeneza free energy. Sio hii Tesla tu kuna kitu kinaitwa Perpetual Machines, watu karne hadi karne wamekuwa wakiumiza vichwa jinsi ya kutengeneza mashine ambayo ikiwashwa itajiendesha bila kuongezea energy lakini mpaka leo hakuna aliyefanikiwa na kama tunaamini physics basi hakuna atakayefanikiwa.
 
VoiceOfReason na Bantugbro nani mkweli ? Sijui "Invincible" ili analiangalia vipi,la kupost issue ktk sehemu hisiyo husika .Kama kati ya hawa wawili niliowataja mwanzo mmojawapo anatania(jokes). Aombe msamaha na a'cut' hiyo thread yake na kui'paste' sehemu ya jokes. Sehemu hii (Technology), ninavyojua, tunakuja kutafuta suluhisho la matatizo ya kiteknolojia si vinginevyo.

Hakuna mkweli wala muongo hapo

Ukisoma artcle ya bantugbro nimegudnua kuwa ni kutokanana matatizo watu wanakuwa nayo na ideas za kutatua matatatizo fulani zinawajia. So hiyo Genrator ya TESLA ilikuwa ni idea tu.

Baada ya kusoma link alizoweka VOR nimeona Idea ile ni ngumu kuwa achived practically. kama inawezekana basi sio at free or cheper cost.

Vile Vile Kitabu cha kuntengeza generator ya TESLA kinatumia problem ya uememe kujaribu kuuza kitabu na sio kuuza solution. kwa hiyo katik mazigira ya Tanzania kitabu kinaweza kuuuza sana lakini hakuna sotion itakayopatikana.

So bado naona hoja zote ni sahihi kwa kutoa changamoto.
 
kwa hiyo ndugu zangu hata ukifanikiwa itakuwa unasave...... sio kupata bure..... Itabidi kuwa na Input = output plus energy losses kwahiyo kwa kupunguza energy losses tutakuwa tunaongeza efficiency tu. I repeat there is no such thing as a free Lunch
 
Back
Top Bottom