Unapatikana wapis6 edge zipo mkuu...bei 950 tu, mpyaa na kila kitu
Jana tumeongea, ila haukuwa kwa office, nimemtuma jamaa yangu aijie lg g fiveOfisi ipo kkoo mkuu....nichek 0654776976, zipo za 64GB
Ndio yenyewe, leo lazima biashara tuimalize.
Simu yako haipatikani?mkuu wakati mwingine nakua mbali na cm...ila sorry sana mkuu, km unakuta simu ipo busy au sijapokea niachie tu ujumbe mfupi au hata whatsapp...nitakuchek boss
Asante sana mkuu kwa kuamua kuniamin na kuwa mteja wngu, jamaa yako ameshaipokea simu yake LG G5, enjoy mkuu hiyo ni smartphone ya kibabe saana, ...incase of anything usisite kunichek kwa # yng: 0654776976 au hata email yang: vieloo@gmail.comSimu yako haipatikani?
Asante kionngoz, Leo tuliongeaa kuhusu iPhone five s, najipanga tufanye business.Asante sana mkuu kwa kuamua kuniamin na kuwa mteja wngu, jamaa yako ameshaipokea simu yake LG G5, enjoy mkuu hiyo ni smartphone ya kibabe saana, ...incase of anything usisite kunichek kwa # yng: 0654776976 au hata email yang: vieloo@gmail.com
karibu tena!!
Huwa sifanyi hivyo, Huwa nabadilisha tu kwa wale ambao simu yao ya kwanza walichukua kwangu, mfano km hiyo c8 ungekuwa ulichukua kwng kukubadilishia inawezekana...maana cm nyingne unakuta zinamatatzo au huwez jua zimetoka wpi...rabda tu naweza kukupa msaada, mara moja tu..ila make sure una risit ya hiyo cm yako, pia iwe bado kwenye best condition, pia imei namba yake iwe haijabadilishwa. hapo naweza kukusaidia kubadilishia.nna tecno c8 nataka kubadilisha na j8 kuna uwezekano?