Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibuni wadau kwa mahitaji ya generators.
Karibuni wadau.
Swali hili hujalijibu MkuuKing Max 5800 Unauza bei gani,
Mzigo upo wa kutosha karibuni sana.Hapa ni baadhi ya picha za generator kama zinavyoonekana.
Jibu specific maswali Mkuu, ukijibu tu hivi kiujumla ujumla wakati kuna maswali hayajajibiwa inaonyesha hauko seriouswadau magenereta bado tunayo bora na imara.
Kwa sasa bei ni tsh.2,100,000King Max 5800 Unauza bei gani,
Nimekupata Ndg, kwetu hatuna ila kuna mchina nitakuunganisha nae kazi yake ni kuagiza vitu kulingana na mahitaji ya watu. Mfano kuna aina nyingi ya mashine ambazo huwezi kuzikuta madukani, kama vile mashine za kusindika. Hivyo wewe una order mashine kulingana na hitaji lako.mkuu...mimi shida yangu ni pump....ya kuvutia maji...shida yangu ni iwe na uwezo wa kusukuma maji kutoka kwenye chanzo kwenda umbali wa zaidi ya vijiji sita hadi saba...ambavyo vipo kwenye miinuko...nitafurahi kama utaniwezesha kupata bei mapema iwezekanavyo ili nikutafute tuje tufanye biashara.