The_Emperor
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 871
- 125
aliyejiunga aicheki hiyo muvi katika chanel ya hollywood movie, ni noma, we acha tu kulala saa tisa alfajili kesho
vp Symbian S60v3 devices?
aliyejiunga aicheki hiyo muvi katika chanel ya hollywood movie, ni noma, we acha tu kulala saa tisa alfajili kesho
20kB For 24hrs? This can't be true.. Na mashaka kama anafahamu tofauti iliyopo kati ya kb, MB, Gb...
Kama husikii, tambua kwa kuhisi
Tv zenyewe za kichina bwana? Nimeangalia, nimeinstall. Nikaenda kusearch tv za bongo. Kuweka star tv ya diallo, imekuja star tv ya kichina.
kama huamini kwa kuona, papasa
Nime download na kujaribu....poa kiasi na haina ku stuck.......natumia Airtel kwa bundle ya 2500
Low quality, but due it's free it worth watching
Nilikuwa na MB 225 nikaangalia kwa dakika 3......salio MB 215
mi iko poa...imeinstall versio ipi?nimeistall sasa hivi naangalia sky newz live lakin inascratch sijui tatizo ni nini... msaada kama kuna kitu natakiwa kuinstall
nime dowload na inaonyesha.... lakini chanel zilizoko humo ndani... mmh!