Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Naona unatafuta bwana, endelea kuongeza juhudi huenda ndoto yako itatimia.Utajaza wewe mwenyewe kama ni Mtu wa Chadema au CCM. lakini mimi namuona Mkuu Abdulhalim Ni Mlokole sio Mzanzibar
Naona unatafuta bwana, endelea kuongeza juhudi huenda ndoto yako itatimia.Utajaza wewe mwenyewe kama ni Mtu wa Chadema au CCM. lakini mimi namuona Mkuu Abdulhalim Ni Mlokole sio Mzanzibar
Usijali mkuu abdulhalim nakutania au umekasirika rafiki yangu?Naona unatafuta bwana, endelea kuongeza juhudi huenda ndoto yako itatimia.
kamuoneni daktari atawasaidia zaidi. Afu kwa nini unamuita mpenzi wako 'kazi'?
kuota vinyama sehemu za siri huwa inasababishwa na Fangas zilizokomaa, zaitwa Warts vinaota vinyama kama uyoga hivi, mwambie atumie dawa moja hivi inauzwa kwenye maduka mengi ya dawa imeandikwa kiswahili 'dawa ya mba' imekaa kama spirit hivi ila ina maumivu sana, lakini vinyama vitakauka na kuisha vyenyewe within 4 days.
kuota vinyama sehemu za siri huwa inasababishwa na Fangas zilizokomaa, zaitwa Worts vinaota vinyama kama uyoga hivi, mwambie atumie dawa moja hivi inauzwa kwenye maduka mengi ya dawa imeandikwa kiswahili 'dawa ya mba' imekaa kama spirit hivi ila ina maumivu sana, lakini vinyama vitakauka na kuisha vyenyewe within 4 days.
Mkuu hiyo dawa uliyoitaja unaijua vizuri lkn? Naona unataka huyo msichana atoke mbio akiwa uchi maana atasikia kitu inawaka moto.Hiyo haishauriwi kuwekwa kwenye open wound na maumbile ya mwanamke hayana tofauti sana na open wound ndo maana ukimpaka pilipili kwenye nyeti zake basi utakuwa umezua balaa kubwa.
By the way kama tatizo ni warts basi zinatakiwa zichomwe kwa kutumia Caustic pencil(silver nitrate pencil) ambayo inatakiwa ifanywe na daktari
mwenyewe.Otherwise please consult a medical doctor immediately.
The medicine can be used to the normal fungus?
kuota vinyama sehemu za siri huwa inasababishwa na Fangas zilizokomaa, zaitwa Worts vinaota vinyama kama uyoga hivi, mwambie atumie dawa moja hivi inauzwa kwenye maduka mengi ya dawa imeandikwa kiswahili 'dawa ya mba' imekaa kama spirit hivi ila ina maumivu sana, lakini vinyama vitakauka na kuisha vyenyewe within 4 days.
heshima mbele wa JF. na kazi yangu (demu) moja inatatizo sehemu za uke, maeneo tukufu yameota vinyama nyama ambavyo vinaendelea kukua jinsi muda unavyokwenda, so far hajatukia dawa zozote lakini vinamsumbua sana kwani hajajua atumie dawa gani, kuvikata hosipitalini kidogo amekuwa mzito, anataka kutumia dawa za kienyeji.
nimeona si mbaya macomrade nikiwashilikisha ili mnipe ushauri nimsaidie vipi.
advise critically.
heshima mbele wa JF. na kazi yangu (demu) moja inatatizo sehemu za uke, maeneo tukufu yameota vinyama nyama ambavyo vinaendelea kukua jinsi muda unavyokwenda, so far hajatukia dawa zozote lakini vinamsumbua sana kwani hajajua atumie dawa gani, kuvikata hosipitalini kidogo amekuwa mzito, anataka kutumia dawa za kienyeji.
nimeona si mbaya macomrade nikiwashilikisha ili mnipe ushauri nimsaidie vipi.
advise critically.
Hapo kwenye tiba za asili hapo....
Inaaminika hivi vinyama vinaleta mikosi....
Is it?
Labda tujibu why unataka tiba za kienyeji....????????