Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Jamani, mbona mnataka kuuana hivyo kwa kumwambia mwenzako akafanyiwe operation? Hilo sio tatizo bwana mkubwa, kuna vidonge vyake fulani unakua unadumbukiza huko 'down' mbona kitaisha tuu. Mimi kuna jamaa yangu mmoja aliamua kukikata hiko kinyama kwa operation chupu chupu tuzike... so kwa ushauri wangu wa bure nenda hospitalini then watakupa dawa, kama kuna Dr atakwambia ni swala la operation then muulize an alternative means ya tiba, huwa zipo. Jaribu kufukiri joto na kutumia hiyo sehem kwa haja kubwa, ukikatwa huko utapona leo?
 
Jamani, mbona mnataka kuuana hivyo kwa kumwambia mwenzako akafanyiwe operation? Hilo sio tatizo bwana mkubwa, kuna vidonge vyake fulani unakua unadumbukiza huko 'down' mbona kitaisha tuu. Mimi kuna jamaa yangu mmoja aliamua kukikata hiko kinyama kwa operation chupu chupu tuzike... so kwa ushauri wangu wa bure nenda hospitalini then watakupa dawa, kama kuna Dr atakwambia ni swala la operation then muulize an alternative means ya tiba, huwa zipo. Jaribu kufukiri joto na kutumia hiyo sehem kwa haja kubwa, ukikatwa huko utapona leo?

Acha kumtisha mwenzako! Operation ni moja wapo ya tiba sahihi kabisa na salama. Nani kakwambia tiba ya upasuaji ni sawa na kuandikiwa hukumu ya kifo?? acha woga wa ajabu
 
Ukienda hospitalini kinaondolewa kwa operation ndogo. Nimeona watu wawili wamefanyiwa bila matatizo yoyote. Gharama sikumbuki
 
ukienda hospitalini kinaondolewa kwa operation ndogo. nimeona watu wawili wamefanyiwa bila matatizo yoyote. gharama sikumbuki

Uko sahihi upasuaji ndio tiba sahihi, hizo dawa ukitumia lazima baada ya muda vinarudi. Rafiki yangu mmoja alisumbuliwa sana na huu ugonjwa kwa lugha ya kiswahili vinaitwa Bawasir
 
Uko sahihi upasuaji ndio tiba sahihi, hizo dawa ukitumia lazima baada ya muda vinarudi. Rafiki yangu mmoja alisumbuliwa sana na huu ugonjwa kwa lugha ya kiswahili vinaitwa Bawasir

Niliisha andika kwenye post ya pili......nipe thanks tafadhali
 
Dear, JF Doctor+ wadau.

Tafadhali ninaomba ushauri wenu (samahani kama lugha itakuwa kali kidogo). Nina kinyama kidogo kimeota sehemu ya matakoni pembeni mwa njia ya haja kubwa kuanzia nikiwa form three. Nilijaribu kuuliza siku za nyuma nikaambiwa inasababishwa na choo kuwa kikavu (kutokunywa maji) hivyo nikaanza kunywa maji kwa wingi.

Sasa naomba kujua kama kuna namna yeyote au dawa ya kukiondoa maana kinanikosesha raha sana.
Asanteni.

Sikupi ushauri niliosikia bali nitakuelezea yaliyonitokea.

Mwaka 2001 niligundua nina kijinyama sehemu hiyo lakini nikawa na wasiwasi wa kumwambia mtu.

Mwaka 2004, hicho kipande kilikua kimeanza kukua na nikawa nahisi maumivu kwenda haja kubwa... nikaenda TMJ, nikapewa dawa za kuweka katika hiyo njia.

baada ya miezi sita hali ilikuwa haijabadilika, wakanifanyia upasuaji mdogo.

Cha msingi... nenda hosipitali kabla hakijakua...kikiwa kidogo, kinapona bila upasuaji....ukichelewa kwenda hospitali kama nilivyofanya, watakufanyia upasuaji na ingawa ni upasuaji mdogo, sehemu ile ina maumivu sana
 
Surgical operation! ni suluhisho

Jamani, mbona mnataka kuuana hivyo kwa kumwambia mwenzako akafanyiwe operation? Hilo sio tatizo bwana mkubwa, kuna vidonge vyake fulani unakua unadumbukiza huko 'down' mbona kitaisha tuu. Mimi kuna jamaa yangu mmoja aliamua kukikata hiko kinyama kwa operation chupu chupu tuzike... so kwa ushauri wangu wa bure nenda hospitalini then watakupa dawa, kama kuna Dr atakwambia ni swala la operation then muulize an alternative means ya tiba, huwa zipo. Jaribu kufukiri joto na kutumia hiyo sehem kwa haja kubwa, ukikatwa huko utapona leo?

Acha kumtisha mwenzako! Operation ni moja wapo ya tiba sahihi kabisa na salama. Nani kakwambia tiba ya upasuaji ni sawa na kuandikiwa hukumu ya kifo?? acha woga wa ajabu
Nyote hakuna aliye sahihi, huyu anasumbuliwa na kitu kinachoitwa haemorrhoidal, kinatokana na kula vyakula vilivyokobolewa, na kutokula vyakula vyenye nyuzi nyuzi na mboga za majani, anatakiwa kula vyakula hivyo na kumeza dawa inayoitwa duclolax (bisacodly)
 
Sure! Upasuaji mdogo ni suluhisho sahihi, si kweli kwamba hata operations ndogo kama hizi zinahatarisha maisha ya mgonjwa.
 
Kuna jamaa mmoja anaitwa dokta isaac ndodi huwa ni mtaalam wa tiba mbadala(sio za kienyeji) anaweza kukusaidia na ukishindwa ndo uende for operation.
 
kuna jamaa mmoja anaitwa dokta isaac ndodi huwa ni mtaalam wa tiba mbadala(sio za kienyeji) anaweza kukusaidia na ukishindwa ndo uende for operation

AT the time huyo Ndodi ameshindwa mdau atakuwa ktk hali gani. Kuweni serious wajameni.
 
Nyote hakuna aliye sahihi, huyu anasumbuliwa na kitu kinachoitwa haemorrhoidal, kinatokana na kula vyakula vilivyokobolewa, na kutokula vyakula vyenye nyuzi nyuzi na mboga za majani, anatakiwa kula vyakula hivyo na kumeza dawa inayoitwa duclolax (bisacodly)

Wahaya bwana! Dr Kaitaba umeishatoa diagnosis hata mgonjwa hujamuona!

Hebu ona Mhaya Mwingine hapa

Kaitaba: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari bingwa sasa!

Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram.

Rweyongeza: aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa!

Kaitaba: mmmm

(BAADA YA Kaitaba kuondoka )

Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Kaitaba, sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa, yeye ni nani?

Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!
 
sifa,

Mkuu hiyo hali lazima uipe medical attention; watakuangalia na kuamua kama kuna namna ya kusaidia kikapungua au kukiondoa kwa minor opereshen. Pia kuna waganga wa jadi wanaotumia mitishamba wana dawa ambayo unaweza kuitumia nadhani wanamajani wanachemsha na mtu anayakalia yakiwa bado na joto kiasi (si tempereature ya kujeruhi).

Mimi binafsi nakushauri nenda ukatibiwe na inategemea ulipo ila muhimbili wazuri kwa hilo tatizo. Ukishafanyiwa opereshen utachukua wiki kadhaa kupona na usafi ni muhimu sana kipindi chote.

Pole sana
 
Nyote hakuna aliye sahihi, huyu anasumbuliwa na kitu kinachoitwa haemorrhoidal, kinatokana na kula vyakula vilivyokobolewa, na kutokula vyakula vyenye nyuzi nyuzi na mboga za majani, anatakiwa kula vyakula hivyo na kumeza dawa inayoitwa duclolax (bisacodly)

Kaitaba... sidhani na wewe uko sahihi, kwanza kabisa hakuna diagnosis bila kum-attend mgonjwa, anaweza hata akawa na various forms za uvimbe kutokana na inflamation etc. yeye amesema pembeni na hajasema zinatokea ndani ya rectum kuja nje... tujaribu kusaidia vizuri mazee. Kumbuka kuna hata prolapse (futuzi) ya huko nyuma kutokana na sababu mbalimbali

pili sio haemorrhoidal, ni haemorroids

Na bisacodyl sio dawa ya hivyo vinyama, hiyo ni dawa ya kuondoa constipation au kulainisha choo, na faida yake labda ingekuwa kwenye prevention kuliko tiba
 
Mie si daktari lakini nafikiri Kaitaba yupo sahihi kwa maana amejaribu kutoa mwanga kwa tatizo analohisi huyo jamaa analo,mie niliwahi kupatwa na tatizo kama hilo la huyu jamaa some years back, pia kwa sababu ya kuona aibu nilijikuta simwambii mtu,tatizo lilipozidi niliamua kujipeleka mwenyewe hospitali bila hata ya kuwataarifu wazazi wangu,madaktari waliponichunguza walisema tatizo nililonalo ni Haemorrhoids kama alivyoelezea Kaitaba na De Nono, na kwamba suluhisho ilikuwa ni kufanyiwa upasuaji,kwa hiyo nilirudi nyumbani kuwaeleza wazee,next day nilifanyiwa upasuaji,nililazwa kwa wiki kama moja then lilitoka kuuguza kidonda for somefew days mpaka leo ni zaidi ya miaka kumi hali hiyo haijarudia tena.

Kwa hiyo nakushauri uende hospitali onana na madaktari watakushauri zaidi,kwa wakati huo mie sikufanyiwa hospitali kubwa,kwa kuwa nilikuwa naishi Iringa nilifanyiwa hospitali ya misheni inaitwa Ipamba.Kwa hiyo naamini daktari yeyote makini atakupa ushauri mzuri.
 
sifa,

Pole sana! Jitahidi uwahi hospitali. Najua ilivyongumu kufanya maamuzi ya kwenda hospitali kwa tatizo ulilonalo.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom