kaka kitomari2 (JOSEPHG JOSEPH) kuna tuhuma zimeletwa hapa kuwa wewe ni tapeli. Ebu uje utoe ufanuzi. Nafikiri zito sifa nzuri kuitwa tapeli.bata mzinga wenye uzito wa kutosha wanapatikana kwa bei ya maelewano na muuzaji,pia bata bukini pamaja na kanga wanapatikana.
kwa mawasiliano ya simu piga namba:0757 662401