Mimi nilipata passport kwa siku mbili tu bila hata rushwa, unatakiwa uwe na barua ya wito kama unaenda nje pia na barua ya utambulisho kama ni mfanyakazi. hii ni hatua ya mwisho baada ya kujaza form. Gharama ya passport ni sh 50,000/=,
ukitaka kupata kwa urahisi bila mawazo unaenda na 50 nyingine unamkonyeza jamaa pale mnapeana namba za simu unaondoka kwenda mjini kuendelea na shughuli zako zingine halafu jamaa anapiga simu unafuata mzigo wako
ukitaka kupata kwa urahisi bila mawazo unaenda na 50 nyingine unamkonyeza jamaa pale mnapeana namba za simu unaondoka kwenda mjini kuendelea na shughuli zako zingine halafu jamaa anapiga simu unafuata mzigo wako