Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kuna taratibu za kufata, ila hiyo fifty ndo kila kitu, nimechukua mwaka jana, na hawajatangaza kubadili gharama. hakuna gharama za pembeni ukiondoa wewe kuwa picha 6, kuna wakati utahitaji muhuri wa wakili (utamlipa ghrama huyu), serikali ya mtaa.

Kama uko karibu na ofisi za uhamiaji ni bora ukaenda kuwaona, hawana shida. Kuipata inategemea lakini haizidi mwezi tangu umeclear yanayohitajika.
All the best
 
Ukipoteza au kuibiwa kwa mara ya kwanza unalipa laki moja ,mara ya pili laki mbili,hilo ni jibu la nyongeza mbali ya kulipia elfu hamsini kama unaomba kwa mara ya kwanza au kama imeisha
 
Kuna taratibu za kufata, ila hiyo fifty ndo kila kitu, nimechukua mwaka jana, na hawajatangaza kubadili gharama. hakuna gharama za pembeni ukiondoa wewe kuwa picha 6, kuna wakati utahitaji muhuri wa wakili (utamlipa ghrama huyu), serikali ya mtaa.

Kama uko karibu na ofisi za uhamiaji ni bora ukaenda kuwaona, hawana shida. Kuipata inategemea lakini haizidi mwezi tangu umeclear yanayohitajika.
All the best

Ukiwa na pesa ndani ya wiki unapata hata bila kwenda kwa mwanasheria ataenda yeye huyo afisa wa uhamiaji...
 
Wana jf naomba msaada.ninarafiki yangu anatarajia kupata mualiko kutoka kwa rafiki yake ambae anaishi Turkey.sasa hajui jinsi yakuomba visa hadi kuipata,nakupata passport maana hajawai kusafiri.ss anaomba msaada kwa mwenye uzoefu na haya mambo.je?visa na passport anaweza kupata kwa mda gani?je akipata anaruhusiwa kusafiri mara 2 apatapo au inakuwaje?2naomba msaada kwa ilo wanajf.pamoja na mahali unapofatilia na gharama.asante
 
Wana jf naomba msaada.ninarafiki yangu anatarajia kupata mualiko kutoka kwa rafiki yake ambae anaishi Turkey.sasa hajui jinsi yakuomba visa hadi kuipata,nakupata passport maana hajawai kusafiri.ss anaomba msaada kwa mwenye uzoefu na haya mambo.je?visa na passport anaweza kupata kwa mda gani?je akipata anaruhusiwa kusafiri mara 2 apatapo au inakuwaje?2naomba msaada kwa ilo wanajf.pamoja na mahali unapofatilia na gharama.asante

Mkuu passport inapatikana ofisi za uhamiaji kila mkoa japo mikoani ni maajenti tu maana lazima itoke Dar es Salaam. Kwa kawaida inachukua majuma mawili kuipata na gharama yake ni Tshs. 50,000 (kama hawajapandisha au kushusha). Baada ya kupata passport basi aende ubalozi wa Uturuki uliopo Dar es Salaam akiwa na barua ya mwaliko kutoka kwa huyo mwenyeji wake akaombe visa. Maelezo mengine atayapata hukohuko ubalozini.
 
Pia kwa kuongezea kama una hiyo barua ya mwaliko inakuwa rahisi sana kuomba hata passport so usiisahau wakati wa kwenda uhamiaji kuomba passport ya kusafiria
 
Mkuu passport inapatikana ofisi za uhamiaji kila mkoa japo mikoani ni maajenti tu maana lazima itoke Dar es Salaam. Kwa kawaida inachukua majuma mawili kuipata na gharama yake ni Tshs. 50,000 (kama hawajapandisha au kushusha). Baada ya kupata passport basi aende ubalozi wa Uturuki uliopo Dar es Salaam akiwa na barua ya mwaliko kutoka kwa huyo mwenyeji wake akaombe visa. Maelezo mengine atayapata hukohuko ubalozini.

Nadhani amepata maelezo mazuri tu. Kuhusu muda wa kuondokja baada ya kupata visa itategemea ameomba visa yake ianzie tarehe ngapi. Baada ya hiyo tarehe anaweza kusafiri wakati wowote kabla muda wa visa haujaisha
 
na mimi passport yangu imeisha muda wake kurenew gharama yake ni iyo iyo 50,000=?
 
Mkuu passport inapatikana ofisi za uhamiaji kila mkoa japo mikoani ni maajenti tu maana lazima itoke Dar es Salaam. Kwa kawaida inachukua majuma mawili kuipata na gharama yake ni Tshs. 50,000 (kama hawajapandisha au kushusha). Baada ya kupata passport basi aende ubalozi wa Uturuki uliopo Dar es Salaam akiwa na barua ya mwaliko kutoka kwa huyo mwenyeji wake akaombe visa. Maelezo mengine atayapata hukohuko ubalozini.

asanteni sana.
 
uyo jamaa anasema kufanya pasport ni sh 50000 hiyo ni bei yake ya kawaida ila ukienda hapo utiritimba mtupu utakao upata ila ukitaka fasta ufanyiwe inakubidi ulishie ibidi uwe kama na laki na nusu mimi ya kwangu nilifanaya laki moja mwaka 2008 tena kwetu zenji sikwambii leo hio 50000 ni cheti cha kuzaliwa na hata hicho bei hiyo kwa sasa hukipati tz hatutumii sheria sheria ya bongo ni hela au uwe mtoto wa kigogo flani .samahani kama nimeongea vibaya.
 
mbona ni issue ndogo sana,passport kwa njia ya kawaida unaipata ndani ya wik moja,kwa rushwa siku 2 adi 3
 
Back
Top Bottom