zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Pasco, saa hizi hizi nilikuwa nasikiliza kipindi chako cha nane-nane kwenye TBC na nilicheka ulipokuwa kwenye banda la kufugia kuku la VETA, nilicheka ulipokazania kumuonea huruma kuku kuwa sasa ndio kisha nunuliwa "anaenda kuchinjwa", uliiongea kwa feelings na ukarudia mara mbili tatu!
Mjomba hicho kilikuwa cha wapi? Dodoma? Nna uhakika feelings zile si bure!
Mjomba hicho kilikuwa cha wapi? Dodoma? Nna uhakika feelings zile si bure!