Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,524
Mkuu Pasco , sasa msiba umepita na Mh.Regia apumzike kwa amani .Naona sasa ni wakati muafaka unipe jibu juu ya wewe na wenzako kupenda bahasha za khaki ili muweze kuandika habari kwa watanzania kujua nini kinaendelea .Karibu tuanzie hapa kwanza maana kwangu nimeshangaa kwamba unahongwa ili uandike habari hata zile ambazo ni za manufaa kwa jamii lakini lazima bahasha ya khaki .
Habari zako ndugu na nina imani umeuanza mwaka ukiwa mzima wa afya njemanani huyo mwenye bahati ya kumhonga Pasco?