Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Mkuu Pasco shalom
Najua nikisema nawe hapa utawaambia na wenzako .Hivi hii tabia ya kupewa bahasha ndiyo habari ziandikwe kwenye magazeti na TV zenu ina manufaa gani kwa Taifa ? Nasema haya nikiwa n ushahidi nitarudi baadaye kuona ushauri wako ili niendelee kumwaga mtama kwenye kuku .Ila tuna kwazika na hizi rushwa za bahasha kisa habari ziende kwa jamii utadhani hamlipwi .
Heshima yako mkuu hebu saidia.
Najua nikisema nawe hapa utawaambia na wenzako .Hivi hii tabia ya kupewa bahasha ndiyo habari ziandikwe kwenye magazeti na TV zenu ina manufaa gani kwa Taifa ? Nasema haya nikiwa n ushahidi nitarudi baadaye kuona ushauri wako ili niendelee kumwaga mtama kwenye kuku .Ila tuna kwazika na hizi rushwa za bahasha kisa habari ziende kwa jamii utadhani hamlipwi .
Heshima yako mkuu hebu saidia.