PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Huyu Pasco wa JF leo ameniweka njiapanda pale alipokuwa anahitimisha sherehe za 8'8, akiwa na kundi kubwa la wafanyakazi wa Ikulu.
Amesema huku akijiamini, kuwa "Zamani Ikulu ilikuwa ni Mahali Patakatifu, lakini sasa hivi JK amepafanya pamekuwa Down To Earth na pako Reachable"!
Kwa kauli hiyo Pasco anaweza kutafsiriwa kwa namna 2.
-Aidha anaponda Ikulu ya enzi za Mwalimu kuwa iliibana mno Ikulu,
-Au anaponda Ikulu ya JK kuwa imekuwa too linient kwa raia na wageni.
Wadau wenzangu mnaisomaje kauli hiyo?
Amesema huku akijiamini, kuwa "Zamani Ikulu ilikuwa ni Mahali Patakatifu, lakini sasa hivi JK amepafanya pamekuwa Down To Earth na pako Reachable"!
Kwa kauli hiyo Pasco anaweza kutafsiriwa kwa namna 2.
-Aidha anaponda Ikulu ya enzi za Mwalimu kuwa iliibana mno Ikulu,
-Au anaponda Ikulu ya JK kuwa imekuwa too linient kwa raia na wageni.
Wadau wenzangu mnaisomaje kauli hiyo?
Last edited by a moderator: