mwankuga
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 334
- 120
| | |
|
| | |
|
Mkuu Mkandara, mara nyingi nimecomment humu, kuwa ignorance ya Watanzania ni mtaji mkubwa wa ushindi wa CCM ndio maana Kinana anaweza kupanga uongo mtakatifu kuzidi kuwapumbaza Watanzania. Huyu ni miongoni mwa ma think tanks za CCM na kwa sasa wanausoma upepo vizuri ili 2015 waje na ilani itakayofukia mashimo yanayozidi kutoboka huku wakijiaminisha akili za Watanzania sio dynamic bali ziko static hivyo wataendelea kushinda kwa nyimbo zile zile, mbinu zile zile na watu watakaopiga kura ni wale wale walioaminishwa CCM iliumbwa kutawala Tanzania milele!.Mwankuga,
Mkuu wangu ukisoma risala hii vizuri utangundua kuwa ni hadithi za Abunuasi.. Abrahman Kinana ni kiongozi wa chama hatupo ktk uongozi wa serikali hivyo hizo ahadi ama kuwasikiliza watu tena wanachama wa CCM haimsaidii kitu huyu Pascal Mayega kwa sababu Kinana alichofanya ni kuwapa matumaini hewa wanachama wake na mlengwa sio wewe mwananchi usiyekuwa na chama.. Hoja kubwa ktk ziara hizi ni kurudisha imani ya chama kwa wananchi jambo ambalo CCM imeshindwa kulifanya kwa vitendo..
Hata huyo makamu wa Raisa kutemebela miradi ilokwisha jenga ni sawa na kukagua gwaride..Sioni haja jambo moja linalonigusa mimi ikiwa sii mwanachama wa CCM kwa sababu nina hakika Kinana mwenyewe anayafahamu watatizo ya wananchi hata kabla hatawafikia. Na alipanga uongo unaokubalika kuwapumbaza zaidi wananchi wakati chama chake kikiendelea kutowathamini wananchi kwa vitendo - Mkono mtupu haulambwi!..