Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali

na huna akiba ya curency stabillizer (gold) benki kuu, unadaiwa hata ukiiuza hiyo nchi plus hizo barabara zilizojengwa hulipi deni, nimalizie kukwambi tulikuwa huru na barabara 6,000km of paved roads, na sasa tuu watumwa pamoja na 11,154km of paved road za kikwata.

Hakuna wakati Tanzania kuna reserve kubwa kama wakati huu wa Kikwete.

[h=2]Reserves of foreign exchange and gold (US$)[/h]
Country2004200520062007200820092010
Tanzania2,175,000,0002,074,000,0002,375,000,0002,910,000,0002,915,000,0003,206,000,0003,687,000,000
Definition of Reserves of foreign exchange and gold: This entry gives the dollar value for the stock of all financial assets that are available to the central monetary authority for use in meeting a country's balance of payments needs as of the end-date of the period specified. This category includes not only foreign currency and gold, but also a country's holdings of Special Drawing Rights in the International Monetary Fund, and its reserve position in the Fund.
Source: Tanzania - Reserves of foreign exchange and gold - Historical Data Graphs per Year
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.

Sasa mkuu hata kujenga barabara kwa kodi zetu na nyingine kutuweka rehani bado mnataka kusema ni zawadi? Embu nitajie kazi za serikali ili nione kwamba kujenga barabara ni mafanikio ama sivyo Serikali kutimiza wajibu wake tena kwa viwango vya chini sana haitakiwi kusifiwa bali kuulizwa kwanini haikufikia matarajio...
 
Sasa mkuu hata kujenga barabara kwa kodi zetu na nyingine kutuweka rehani bado mnataka kusema ni zawadi? Embu nitajie kazi za serikali ili nione kwamba kujenga barabara ni mafanikio ama sivyo Serikali kutimiza wajibu wake tena kwa viwango vya chini sana haitakiwi kusifiwa bali kuulizwa kwanini haikufikia matarajio...

Hapo kuna neno zawadi?

Kwani hao wa kabla ya Kikwete walikuwa hawana hizo fedha zenu? mbona hawakufanya lolote? fikiri!
 
Hapo kuna neno zawadi?

Kwani hao wa kabla ya Kikwete walikuwa hawana hizo fedha zenu? mbona hawakufanya lolote? fikiri!

Hawakufanya lolote unamaanisha nini? barabara zenyewe nyingi zao bado ni mipango kwahiyo tuchukulie mipango ndo ufanikishaji? sidhani...Huwezi kulinganisha fedha za ndani,misaada na mikopo iliyopatikana kipindi hicho na sasa na vilevile ubora wa barabara za kipindi hicho na sasa...kiufupi ni kwamba unachojaribu kukitetea ni ndoto acheni wananchi waone wenyewe hayo mafanikio na sio kulazimisha watu waamini hayo maendeleo..!
 
aliahidiwa kwa jins anvyokipa shavu chama tawala amgepewa ukuu wa wilaya , alipoukosa alingaka kuwa eti serikal inatumia rasilimali za watz vbaya kwa kuongeza idadi kubwa ya dc.
Sasa cjui sahv kaahdiwa nn mpaka amerudi kweny mstari tena
" an empy brain is alwayz dependant"
 
UTHIBITISHO; Pasco jf member ndiyo Paschal mayala!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

zaidi ya 70% ya waliochangia uzi huu bila kujali wameunga mkono au kupinga kwa hoja dhaifu ama yenye mashiko amekula LIKE toka kwa pasco member wa jf!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna wakati Tanzania kuna reserve kubwa kama wakati huu wa Kikwete.

[h=2]Reserves of foreign exchange and gold (US$)[/h]
Country2004200520062007200820092010
Tanzania2,175,000,0002,074,000,0002,375,000,0002,910,000,0002,915,000,0003,206,000,0003,687,000,000
Definition of Reserves of foreign exchange and gold: This entry gives the dollar value for the stock of all financial assets that are available to the central monetary authority for use in meeting a country's balance of payments needs as of the end-date of the period specified. This category includes not only foreign currency and gold, but also a country's holdings of Special Drawing Rights in the International Monetary Fund, and its reserve position in the Fund.
Source: Tanzania - Reserves of foreign exchange and gold - Historical Data Graphs per Year

mkuu hizo figure hazina hata senti? Ni hela za wapi hizo! Iran au za mtera!!!!
Na kama kalkuleta yangu haijachakachuliwa na nchemba, akiba uliyo-refer haitaji dhahabu bali ni dolari za kimarekani ambazo ukizidisha kwa rate ya 1500 utapata trilion 4.5, that means plus makusanyo ya kodi tra kwa mwaka tungekuwa na budget tegemezi chini ya asilimia 30. Mchumi mwenyewe anayetegemewa eti nchemba! Wakati mwenzao anakojoa vidagaa baada ya fumanizi, akili yote kwa abdala kichwa wazi, kwi kwi kwi (jocking)
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.


JK kaja kufungua barabara za MKapa, niambie ni MRADI wa barabara gani umeanza na kumalizika katika awamu ya JUA KALI?
 
Hakuna wakati Tanzania kuna reserve kubwa kama wakati huu wa Kikwete.

Reserves of foreign exchange and gold (US$)


Country
2004
2005
2006
2007
2008
2009
2010
Tanzania
2,175,000,000
2,074,000,000
2,375,000,000
2,910,000,000
2,915,000,000
3,206,000,000
3,687,000,000
Definition of Reserves of foreign exchange and gold: This entry gives the dollar value for the stock of all financial assets that are available to the central monetary authority for use in meeting a country's balance of payments needs as of the end-date of the period specified. This category includes not only foreign currency and gold, but also a country's holdings of Special Drawing Rights in the International Monetary Fund, and its reserve position in the Fund.
Source: Tanzania - Reserves of foreign exchange and gold - Historical Data Graphs per Year

Check out with the PPP( PURCHASING POWER PARITY) of your reserve in the economy, then value what you have in shelf. Back in 2004 we had arround USD/TSH 1: 800. In simple conversion of (2,175,000,000*2) as per prevailing exchange rate of USD/TSH 1:1600, WE HAD MUCH VALUE AT THAT TIME OF 4,35,000000 (Ceteris Peribus).
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.
kila siku unatoa barabara sema mengine kubwa zima !!!!!!!hizo barabara zimejengwa wapi watu wasizione bana msifanye watu wajinga bwana kama wewe akili yako imefika mwisho kufikiri unawaza maendeleo ni barabara usilazimishe watu kuamini hivi unfahamu achilia mbali mikoani hapa Dar hamna umeme wala maji ambapo ni miguuni mwake ,kama umeshiba ukavimbiwa tembea uone watu wanavyotaabika huko,mimi binafsi ninapoishi ni sh 300 mpaka posta ila serikali haijafikisha umeme ambako vitendo vingi vya ujambazi na ulinzi wawananchi ni mdogo sababu tupo gizani pia maendeleo yamekuwa ya taratibu hata maji hamna inayowagharimu sana raia kuchimba maji na eneo hilo liko kwenye mradi wa serikali toka 2005,usiwe mlamba viatu kutetea ujinga kila siku hapa,karibu 2015
 
Nakubaliana na Paschal Mayalla kuwa wengi wa watu humu jamvini wamekuwa wenye kulalama kwa kila kitu na kila jambo. Hakuna hata kusifia japo kidogo.

mawazo yake ni sahihi na kwa walengwa inatubidi tujisahihishe. Kwani hakuna mafanikio bila changamoto.

wewe utakuwa na wazimu kwa haya uliyochangia
 
Kwanini usihoji mafanikio yetu tokea uhuru badala yake umechagua ya kuanzia 2005?

una lako jambo.

Tena usinikumbushe this CCM era from 1961, mnajivunia maendeleo ambayo yanaweza kutimilika katika 7yrs? Nyie imewachukua 50yrs na mnasimama na kujipongeza!

Mmetupotezea muda, naweza lia kama wasomi wetu enzi zile walikua wakienda kujifunza JAPAN kilimo cha kisasa na kushindwa kuwatumia THEN WHAT THE HELL ARE YOU GUYS?

1961 we had almost the same level of development with most of developed nations. Where are we now???????
 
Katika kukiri JF inawafanya wengi wasilale speaker hii paschal mayala imetumika ku amplifayi kuwa JF wamejaa walalamishi msipinge tu. Katika mtazamo huu anaingia kundi moja la yule mama wa mikocheni kuponda JF


Mbona kila comment huyo pasco wa JF ana like....bila shaka ni huyu huyu pascal mayalla mwandishi aliyekutana na litoto la malechela sabasaba
 
Back
Top Bottom