party time data entry jobs

Cdhani km kuna ukweli wowote wa hii issue coz nilijaribu kuifatilia then mwisho wa cku nilitakiwa ku pay fee,kuanzia $55 na kuendelea depends on aina ya kazi unayotaka na level uliyokuwa nayo.Km kuna m2 yeyote ambaye amefanikiwa kwa hilo naomba atufahamishe wana JF.
 
Hawa ni wezi. Itakuwaje mtu unapewa kaz halafu unatakiwa kulipia?
Kama ni hayo malipo kwa nini wasikate kwenye hiyo kaz utakayofanya? Mwenyewe nilifungua nikakuta hakuna jipya zaidi ya kuibiwa. Thx.
 
Wiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mods watu kama hawa wanaoleta post za kitapeli wapigeni ban ya maisha wasionekane tena humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom