MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,851
- 6,201
Heshima kwenu wadau wote wa burudani, atleast wekend inaanza maana stress za weekdays sio mchezo, wakoloni wanatoa deadline kama hawana akili nzuri,
Tuache yote wapenda burudani leo utakuwa wapi kujipa burudani, wanaowaza kujenga mda wote mnaona kujipa raha ni kupoteza hela msituchakachulie thread, mkata kiu nitakuwa break point k nyama kupata mbili tatu na wanangu kazaa after that tutausoma upepo
Tuache yote wapenda burudani leo utakuwa wapi kujipa burudani, wanaowaza kujenga mda wote mnaona kujipa raha ni kupoteza hela msituchakachulie thread, mkata kiu nitakuwa break point k nyama kupata mbili tatu na wanangu kazaa after that tutausoma upepo