newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
serikali ya mtaa wa Oysterbay inatoza ushuru wa ku park magari coco beach Tsh 700
Hizi pesa zinaishia wapi?
Ili serikali ya mtaa itoze ushuru wa maegesho , bylaws zinatungwa au ni wazo la mwenyekiti wa serikali za mtaa linatosha kuanzisha mradi wa kukusanya ushuru wa maegesho.
Je ukigoma kulipa hatua gani zinachukuliwa kisheria?
ukidadisi ni kuwa unalipia gharama za usafi na ulinzi coco beach.
Hizi pesa zinaishia wapi?
Ili serikali ya mtaa itoze ushuru wa maegesho , bylaws zinatungwa au ni wazo la mwenyekiti wa serikali za mtaa linatosha kuanzisha mradi wa kukusanya ushuru wa maegesho.
Je ukigoma kulipa hatua gani zinachukuliwa kisheria?
ukidadisi ni kuwa unalipia gharama za usafi na ulinzi coco beach.