Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,419
- 2,270
Tatizo wengi hujitia kujua vitu, kumbe hawajui chochote...Sounds like Kinje's Son
Awali ya mimi sio msemaji wa JIJI, ila kwa ufahamu wangu mapato yote ya JIJI hutumika kwa mjibu ya bajeti yao. Aidha ni JIJI(watendaji na madiwani) ambao hupanga jinsi ya kuondoa kero mbalimbali katika JIJI. Nafasi ya mwananchi wa kawaida katika kuona matumizi ya Mapato ya JIJI ni yeye mwenyewe kushiriki katika vikao kuanzia ngazi ya wadi hadi kwenye Baraza Kuu la JIJI.Mheshimiwa Kibaunango unasikika ni mtu anayekana reality...huoni kuwa zile fedha hazisaidii chochote jiji..hebu angalia mfano Kariakoo kulivyo na traffic jam god forbid kukitokea fire hakuna hata njia ya firebrigade kupita...i believe kama zile pesa zingetumika vyema kungekuwepo mabadiliko.
Kamanda naona sasa umehamishia majungu na fitna kwenye vidole... Kazi unayo..yaani mapato na Kingunge na mkewe na watoto wake unasema iende kujenga Kariakoo ama mimi sijakuelewa ?